Airtel Customer Care Branch ya Morogoro mjini mbadilike

Airtel Customer Care Branch ya Morogoro mjini mbadilike

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,451
Reaction score
50,183
Nawashauri Airtel Customer Care Branch ya Morogoro mjini mbadilike, ikibidi basi uongozi utoe mafunzo ya ku smile au hata kutumia dawa maalumu (stimli) ya kuwawezesha watu wa front desk kutabasamu wanapoongea na wateja wao, kumkunjia uso mithili ya uso wa mbuzi na kutomjibu mteja hakustawishi kampuni.

Naamini ujumbe umefika kwa wahusika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom