P J O
JF-Expert Member
- May 3, 2024
- 241
- 315
Kuna siku nilikutana na jamaa mmoja mfanyabiashara anasafiri sana nje, anasema alikutana na mzungu siku Moja akamwambia Tanzania pananuka. Yeye anasema aliona kama Yuko offended lakini alipata nafasi kufikiria na Kwa experience ya safari zake alikiri ni kweli.
Anyways, KIla mwezi hua natembelea Airport terminal two Kwa shughuli binafsi, aise Kuna harufu sijui ni ya kinyesi au chamber ila pananuka sana.
Kwa Wageni wanaoingoa Tanzania lazima watutukane hata kabla hawajafika Buguruni na Kinyamwezi Pugu. Hii ni AIBU considering Tanzania tuna Wageni wengi watalii na ukubwa wa airport yetu.
Airport pananukaz serikali ishughulikie hili
Anyways, KIla mwezi hua natembelea Airport terminal two Kwa shughuli binafsi, aise Kuna harufu sijui ni ya kinyesi au chamber ila pananuka sana.
Kwa Wageni wanaoingoa Tanzania lazima watutukane hata kabla hawajafika Buguruni na Kinyamwezi Pugu. Hii ni AIBU considering Tanzania tuna Wageni wengi watalii na ukubwa wa airport yetu.
Airport pananukaz serikali ishughulikie hili