Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,758
Dharula=Dharau.Dharura=Dharula
Dharula=Dharau.Dharura=Dharula
Tuipeleke ikajaribu Uwanja wa Chattle kama kweli ni Internacional Airport.Hivi hatuwadai hawa waarabu tuikamate ndege yao?
Dah! watu wengine kila kitu mnachukulia serious. MhhhWhat has Magufuli got to do with this? Kama thinking ya WaTz wengi ipo hivi basi tunayo safari ndefu. Mlitaka iende ikatue wapi na mmeambiwa ni emergency Magu ndio amesababish Hali ya hewa kuwa ilivyo
At least mngempa credit Mheshimiwa JK maana miradi yake mingi ilikamilika pamoja na uwanja huu. Let's be serious ingetua chattle je ingekuwaje??
Inazidi Trilion 1.5?Lina hadi Swimming Pool humo ndani, bonge moja la ndege, Bei yake ni US$375.3 million. Tutakula sana nyasi hadi inunuliwe
Kweli kabisa na likipata pilot mzuri likitua pale chattle analipigisha drift kabisa maana bonge moja la uwanja wa kimataifa in villageTuipeleke ikajaribu Uwanja wa Chattle kama kweli ni Internacional Airport.
You made my day kwa kweliKapicha basi tuone hata jinsi inavyofanana. Ni kubwa kuliko Bombardier?
Naona jamaa wote mikono kiunoni wanaishangaa tu
Mwanangu hatuwadai hata kama cc ni donnor country......labda tuombe wachelewe kuitoa ili aje kesho kuizindua na apige picha ili apate fonti feti ya gazeti keshoHivi hatuwadai hawa waarabu tuikamate ndege yao?
watu wanatoa dhihaka tu mkuu wote wanajoki tu hapoWhat has Magufuli got to do with this? Kama thinking ya WaTz wengi ipo hivi basi tunayo safari ndefu. Mlitaka iende ikatue wapi na mmeambiwa ni emergency Magu ndio amesababish Hali ya hewa kuwa ilivyo
At least mngempa credit Mheshimiwa JK maana miradi yake mingi ilikamilika pamoja na uwanja huu. Let's be serious ingetua chattle je ingekuwaje??
hahahaaaaaaaNasikia baada ya kutua Bombardier zimetimua mbio kuelekea zbar kwa safari ya gafla.
Wengine hawajui kuna lugha ya kuvunga au ya kejeli - wenzetu wanasema "irony au sarcasm"Lugha bwana ina raha yake ukiielewa.
Unaweza hisi ulichosoma kina maana hii kumbe kina maana tofauti....
Sometimes tunafurahisha jukwaa tu hatuko serious.
Nasikia baada ya kutua Bombardier zimetimua mbio kuelekea zbar kwa safari ya gafla.