Air warriors of the Indian Air Force

Air warriors of the Indian Air Force

Sasa nini cha ajabu hapo...mbona wanacheza kwata ya kawaida tu

Sisi tunataka tuone watu wakivunja mawe kwa mikono

Tunataka tuone watu wakining'inia kwenye ndege

Hapo watu laini laini tu
 
Mimi nilidhani ni gwaride la ajabu sana. Kumbe ni kitu hata sungusungu au Polisi Jamii wanaweza.
Kwanza hilo lao hata halivutii. Ungeona lile la Sudan ya Albashir ndio ungefurahi. Clip yake ninayo ila tu sina utaalam wa ku upload hapa
 
Wapo sawa ila kuweza wanaweza nimarekebisho na mafunzotu tena kwa jwtz nizaid ya hao maana ngozi ngum
 
hivi wale makomandoo wanaojipasulia matofali kwa kichwa kichwani si empty set kabisa?
 
Sasa nini cha ajabu hapo...mbona wanacheza kwata ya kawaida tu

Sisi tunataka tuone watu wakivunja mawe kwa mikono

Tunataka tuone watu wakining'inia kwenye ndege

Hapo watu laini laini tu
waingize kwenye vyombo vyao harafu wakupigie gwaride uone. wajikakamue kimikwala hapo wakati wao wamezoea kucheza hewanimara nyingi bondia mwenye mbwembwe sana hakuna kitu
 
Back
Top Bottom