Air Tanzania yakanusha kuuza ndege ya Airbus A220-300

Jamani kwa kuwaelimisha watu wasio elewa katika aviation industry nikwamba kuna kitu kinaitws Air show ambayo hujumuisha mashirika ya ndege wetengeneza ndege na wadau wote aviation ambapo deals kibao za biashara zinazohusiana na biashara ya ndege hufanyika kama vile kuweka order ya ununuzi wa ndege kutoka kwa manufactures nk
 
Uchumi upi huo? Au unaandika ukiwa wapi?? Hivi hata aibu hamuoni ktk kutetea upuuzi?? Uchumi ungekuwa imara mngewadhulumu Wakulima wa Korosho??
Unatamani na kuomba dua Serikali iliyoko madarakani ishindwe katika juhudi zake za kuimarisha uchumi wa nchi, ili wewe na hao unaotaka wawe madarakani, mpate nini?

Watu wazima hovyo vichwani!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani kwa kuwaelimisha watu wasio elewa katika aviation industry nikwamba kuna kitu kinaitws Air show ambayo hujumuisha mashirika ya ndege wetengeneza ndege na wadau wote aviation ambapo deals kibao za biashara zinazohusiana na biashara ya ndege hufanyika kama vile kuweka order ya ununuzi wa ndege kutoka kwa manufactures nk
Mkuu Jiwe alishawatahadharisha kuwa "WATZ SIYO WAJINGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shirika la Ndege nchini, ATCL, limekanusha uvumi kuwa moja ya ndege zinazomilikiwa na Shirika hilo aina ya Airbus iko mbioni kuuzwa nchini Kenya.

Kwa mujibu wa taarifa za kumbukumbu za anga kupitia mtandao wa Flightradar24, Ndege namba 5H-TCH aina ya Airbus, A220-300, iliondoka Dar es Salaam majira ya 9.17 mchana kuelekea Nairobi Kenya, na majira ya saa 12 jioni iliruka kutokea Uwanja wa Jomo Kenyatta kisha kutua katika Uwanja huohuo muda wa saa moja jioni.

View attachment 1057685

Aidha ndege hiyo iliondoka Nairobi saa nne usiku na kutua Dar es Salaam saa 5 na dakika 43 usiku.

Taarifa za ndani kutoka ATCL, zinasema Ndege hiyo ilikodiwa kwenda kufanya maonyesho ya ndege nchini Kenya, kisha ilirejea hapa nchini.
Ilikodiwa kwenda kufanya maonyesho na.maonyesho.hayo.ni usiku mana iliondoka saa (9)mchana japo ilipaswa kuandikwa (3)ili tujue ila kwa vile kaweka 9mchana tumeelewa then ikqruka saa 12 jioni ikarudi na.kuondoka saa 4uaiku na kufika saa tano kasoro dakika chache hapa kuba maswali kibao lakini majibu tuliopewa ndo chazo cha maswali yenyewe...je kulikua na maonyesho kweli?je maonyesho hayo yalikua ni kwa ajili ya ndegw kutoka TZ tu?je maonyesho hayo yalipaswa kufanywa usiku as if tubakagua taa?ilikodiwa na ilikodiwa na nani?hayo maonyesho ya masaa mangapi maana naona ndege imeanza safari dar na kufika 12 kasoro na kuondoka saa tatu na kuanza mwendo kurudi nyumbani saa nne muda wa maonyesho hawatuambii na wala hatuambiwi walioshiriki maonyesho hayo ni nchi ngapi? Huenda ndege imeenda test mnunuzi ndo anajaribisha kama chombo ni konki..ila sina proof hadi nione ikiuzwa
 
Kenya wana ndege nyingi ndio lakin hawana airbus A220. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hiyo africa. So airbus wmeitumia kama mfano kutangaza biashara hiyo kwa aina hiyo ya ndege.
Halafu kenya ina ndege nyingi, ni maonesho gani mpaka iazime ndege kutoka kwetu, kandege kenyewe hako kamoja? Wawadanganye wajinga huko, hayo maonesho ya ndege hayapo, walienda kupatana bei

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenda kufanya maonyesho ya ndege? 😳😳
Mie nilifikiri itakuwa busy kusafiri huku na kule ili kusafirisha abiria kumbe iko kwenye maonyesho? Kiasi gani kilitumika kama gharama za kushiriki maonyesho hayo?
Mi bongo ndivyo tulivyo, tunaambiwa ndege ILIKODIWA, bado mtu anauliza kiasi gani kimelighalimu shirika? Tuliambiwa Tanzania ni ya kwanza ktk afrika kuwa na ndege hii lakini bado tunashangaa ndege kukodiwa wengine waone utendaji kazi wake!! 😂😂
Tunalaana ya kutojiamini
 
Huu upumbavu.
Mmelishwa na mpumbavu mmoja na ninyi mlivyo makumbafu mnasadiki..
Mamlaka husika ndioinayojua ndege yao inaoperate vipi..sasa jinga moja linawapotosha na nyinyi mmekazania kuuzwa..tumieni akili zenu kufkiri..zahuyo mpotoshaji mwachieni yeye.
 
Shirika la Ndege nchini, ATCL, limekanusha uvumi kuwa moja ya ndege zinazomilikiwa na Shirika hilo aina ya Airbus iko mbioni kuuzwa nchini Kenya.

Kwa mujibu wa taarifa za kumbukumbu za anga kupitia mtandao wa Flightradar24, Ndege namba 5H-TCH aina ya Airbus, A220-300, iliondoka Dar es Salaam majira ya 9.17 mchana kuelekea Nairobi Kenya, na majira ya saa 12 jioni iliruka kutokea Uwanja wa Jomo Kenyatta kisha kutua katika Uwanja huohuo muda wa saa moja jioni.

View attachment 1057685

Aidha ndege hiyo iliondoka Nairobi saa nne usiku na kutua Dar es Salaam saa 5 na dakika 43 usiku.

Taarifa za ndani kutoka ATCL, zinasema Ndege hiyo ilikodiwa kwenda kufanya maonyesho ya ndege nchini Kenya, kisha ilirejea hapa nchini.

Labda KQ baada ya kuitest hawakuipenda

kwanini iliruka saa 12 Jkenyata na kutua saa moja tena katika uwanja huohuo.ilirushwa kwenda kutestiwa au?

Mungu aepushilie mbali hii roho ya kutaka kuanza kuuza vitu vya ndani.
 
Shirika la Ndege nchini, ATCL, limekanusha uvumi kuwa moja ya ndege zinazomilikiwa na Shirika hilo aina ya Airbus iko mbioni kuuzwa nchini Kenya.

Kwa mujibu wa taarifa za kumbukumbu za anga kupitia mtandao wa Flightradar24, Ndege namba 5H-TCH aina ya Airbus, A220-300, iliondoka Dar es Salaam majira ya 9.17 mchana kuelekea Nairobi Kenya, na majira ya saa 12 jioni iliruka kutokea Uwanja wa Jomo Kenyatta kisha kutua katika Uwanja huohuo muda wa saa moja jioni.

View attachment 1057685


Aidha ndege hiyo iliondoka Nairobi saa nne usiku na kutua Dar es Salaam saa 5 na dakika 43 usiku.

Taarifa za ndani kutoka ATCL, zinasema Ndege hiyo ilikodiwa kwenda kufanya maonyesho ya ndege nchini Kenya, kisha ilirejea hapa nchini.
Ilipelekwa sokoni siyo maonyesho
 
Back
Top Bottom