Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,936
- 36,281
Mshkaji wangu kaingia States kaniachia mazaga zaga kibao geto sasa kuna hii air jordan tatizo size ya mguu hatuvaliani.
Size 43, kiatu bado kipya kipya , bei chee tu tunafanya biashara. Kiatu orijino sio midosho ya vunjabei. Kama mpenzi wa haya mambo njoo pm tuyajenge
Size 43, kiatu bado kipya kipya , bei chee tu tunafanya biashara. Kiatu orijino sio midosho ya vunjabei. Kama mpenzi wa haya mambo njoo pm tuyajenge