Dr Dre JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 2,669 Reaction score 2,857 Apr 7, 2022 #21 mrusi asije akapita na watu huko maana kanyimwa kushiriki.wasiwasi ndo akili
E establishment JF-Expert Member Joined Jun 27, 2015 Posts 1,641 Reaction score 2,473 Apr 7, 2022 #22 SirAlfred006 said: Hawa wamejipanga vilivyo! View attachment 2172299View attachment 2172301View attachment 2172300 Click to expand... Waarabu tofauti na wavaa kobazi wa Kisiju
SirAlfred006 said: Hawa wamejipanga vilivyo! View attachment 2172299View attachment 2172301View attachment 2172300 Click to expand... Waarabu tofauti na wavaa kobazi wa Kisiju
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 96,114 Reaction score 137,407 Apr 7, 2022 #23 Von Dee said: Kikwetu kwetu ni wakati gani serikali huwa pamoja zaidi na wananchi wake kama ilivyo uko kwa wenzetu #Qatar Click to expand... Hakuna mzee mzee Qatar issue nyingine Kuna sehemu inaitwa 21 high street, katara Kuna malls hatari Ukiwa ndani, nje hiyo cooling si ya kitoto Watu huko hawapendi shida bana Ova
Von Dee said: Kikwetu kwetu ni wakati gani serikali huwa pamoja zaidi na wananchi wake kama ilivyo uko kwa wenzetu #Qatar Click to expand... Hakuna mzee mzee Qatar issue nyingine Kuna sehemu inaitwa 21 high street, katara Kuna malls hatari Ukiwa ndani, nje hiyo cooling si ya kitoto Watu huko hawapendi shida bana Ova
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 96,114 Reaction score 137,407 Apr 7, 2022 #24 Bushmamy said: Dah Click to expand... Katembe boss huko hahaha Ova