profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,133
nimeendesha gari kwa takribani saa 1:30,nikapaki kama masaa 2,nikiweka tu funguo na ku turn ufungu mara ya kwanza tu,inawaka taa ya air bag,nikaendesha kama saa moja na nusu na nimepaki home,naomba msaada kuweka kuondoa hiyo taa, nikiwasha gari nayo inawaka, gari ni TOYOTA NOAH ROAD TOURER 2000, LIGHT ACE, 2WD.