😅😅😅😅😅 naona umejipatia nafasi yako kabisa katika hayo makundi 7 live bila chengaHii number saba ni wewe mwenyewe una mfikiria vibaya wengine wako ivo ivo tu!!
Unataka mtu awe km unavotaka no!!! wewe ndo mwenye gubu... Kwa nini usimfundishe
Bora umelitambua mapema😅Huyo namba saba ni mimi
Unajitahidi kutetea kwani wewe ni namba ngapi??Hii number saba ni wewe mwenyewe una mfikiria vibaya wengine wako ivo ivo tu!!
Unataka mtu awe km unavotaka no!!! wewe ndo mwenye gubu... Kwa nini usimfundishe
number zote hatariUnajitahidi kutetea kwani wewe ni namba ngapi??
Nimemiss mnoJamani..... Umemiss kudekezwaaa?😄