TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,892
- 8,485
Mijitu mijinga inachosha vichwa vyetu kuwaza tusivyo vitarajiaNashangaa
Mijitu mijinga inachosha vichwa vyetu kuwaza tusivyo vitarajiaNashangaa
hebu itaje aina ya hiyo ndege kama sio yzushi wakoAina ya ndege ya precision iliyoanguka iliondolewa katika orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuruka Marekani kutokana na historia ya kuanguka hasa maeneo ya upepo na barafu. Hii ni kwa mujibu wa CNN
You ahould just let it slide, by diving on it proves you are a brainless creature mysteriously walking on your feet..Useless comment
Mamlaka ya Hali ya Hewa walitabiri Bukoba ingekuwa na hali mbaya hewa at that time? Hivyo ni vijisababu vya kujitungia kujustify the accident Mzee!Sawa mjuaji....marekani si ndio kuna kila kitu hadi hali ya hewa unayoitaka
Tanzania hakuna barafu wala upepo mkali kiasi hicho.Aina ya ndege ya precision iliyoanguka iliondolewa katika orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuruka Marekani kutokana na historia ya kuanguka hasa maeneo ya upepo na barafu. Hii ni kwa mujibu wa CNN
Haya ndiyo matatizo ya kuvuta bhange ukubwani!Aina ya ndege ya precision iliyoanguka iliondolewa katika orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuruka Marekani kutokana na historia ya kuanguka hasa maeneo ya upepo na barafu. Hii ni kwa mujibu wa CNN
wasengerema kama hawa wako wengi sana kama ingekuwa kumtukana mtu jf unapigwa ban basi mimi ningempa mitusi yake for the first timeNo no mkuu usi comment kama zuzu, uchunguzi wa kitaalamu kujua nini kilisababisha ajali ile bado, flight box&black box vitasaidia kujua nini chanzo cha ajali, huna hata report ya weather muda wa ajali sasa nini kimekuaminisha kuwa tatizo ni weather?,na hatuiti uzembe wa pilot (elewa amefariki kwenye ajali hawezi kijitetea),kabla ya to ask hard questions kwa serikali ya ccm kwa kuzembea uokoaji, wewe unakimbilia soft targets, shame on you
Rubani ni bonge la Kiazi R.I.PHuman Error, Rubani alishawatangazia abiria kuwa, hali ya hewa siyo rafiki, na Ana taka ku Divert kwenda Mwanza Airport. Sasa kilichomfanya ajaribishe kutua Ni kitu gani ? Ndege siyo gari, kwamba unajaribisha kuvuka kwenye tope likikwama utavutwa, ndege Ni shughuli nyingine !, Uki fell ku attempt inakuwa total Distructio.
Yatasemwa mengi sana!!kwa tulio wahi kuishi bukoba tunaifahamu vizuri sana hali ya hewa ya bk,karibia siku zote huwa sio nzuri,mnaweza amka mkakuta ni ukungu tupu,.Kama ma pilot wakifanya kama unavyosema kila siku ndege zitakuwa zinashindwa kutua pale,kutokana na changamoto ya hali ya hewa,lakini ni kawaida sana kukuta ndege inazunguka wee,then badaye inafanikiwa kutua.Harafu unatakiwa kufahamu kuwa uwanja wa ndege wa bk hakuna traffic controller aliyepo ardhini,kusema kwamba angeweza kuwa anaiona kwa macho.Na marubani wengi waliohojiwa wamekiri kuwa ule uwanja ni changamoto sana kutokana na eneo ulipo na urefu wa runway.hivyo kuna vifaa vya kiusalama vinatakiwa viwekwe pale,ili kuwarahisishia marubani kutua kww usalama.Tatizo sio technical error ya hiyo ndege bali ni hali ya hewa na uzembe wa rubani... baada ya kuona hali ya hewa mbaya asinge-gamble kutua... alifosi kwa kigezo cha uzoefu.....
Waliopona wameelezea vizuri sana... waliona hali ya hewa ni mbaya na rubani aliwapa taarifa na kuwaambia wanataka kurudi mwanza sababu uwanjani hali ni mbaya, wakashangaa wametua majini... uzembe ni kwa rubani na wale waliokua kwenye traffic controller....
No no mkuu usi comment kama zuzu, uchunguzi wa kitaalamu kujua nini kilisababisha ajali ile bado, flight box&black box vitasaidia kujua nini chanzo cha ajali, huna hata report ya weather muda wa ajali sasa nini kimekuaminisha kuwa tatizo ni weather?,na hatuiti uzembe wa pilot (elewa amefariki kwenye ajali hawezi kijitetea),kabla ya to ask hard questions kwa serikali ya ccm kwa kuzembea uokoaji, wewe unakimbilia soft targets, shame on you
Au sio bwana?...ile iliparamia ziwaIle haikuanguka