No no mkuu usi comment kama zuzu, uchunguzi wa kitaalamu kujua nini kilisababisha ajali ile bado, flight box&black box vitasaidia kujua nini chanzo cha ajali, huna hata report ya weather muda wa ajali sasa nini kimekuaminisha kuwa tatizo ni weather?,na hatuiti uzembe wa pilot (elewa amefariki kwenye ajali hawezi kijitetea),kabla ya to ask hard questions kwa serikali ya ccm kwa kuzembea uokoaji, wewe unakimbilia soft targets, shame on youTatizo sio technical error ya hiyo ndege bali ni hali ya hewa na uzembe wa rubani... baada ya kuona hali ya hewa mbaya asinge-gamble kutua... alifosi kwa kigezo cha uzoefu......