Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,340
- 56,050
Kwa sababu mi ni mlevi hata ke nitakayekuwa naye inabidi awe mlevi
Mkuu unamaanisha Mrs wangu au... Ha ha*Mwanamke limbukeni wa utandawazi asiyepitwa na kitu chochote.
Wapenda HAKI SAWA wanaotaka 50% kwa 50% kimgawanyo lakini majukumu yote humtwisha Mwanaume katika ndoa(CHANGU NI CHANGU ILA CHAKE NI CHETU)