Aina 10 za wanawake hizi hapa; Je, wako yuko wapi?

Aina 10 za wanawake hizi hapa; Je, wako yuko wapi?

Ni wanawake wa Bongo tu, au ni wanawake wa mataifa yote kwa ujumla?

Na wewe mleta mada unazo ngapi hapo?
 
Ushirikina
Wizi
Umalaya
Ujuaji mbona hata baadhi ya wanaume pia wana hizo tabia?
Acheni kuwasema sema wanawake jamani hizo ni laana mwanaume mzima unakaa na kumnyambua mwanamke utafikiri we ulijizaa au huna Dada looh!!
 
Mawazo ya nn
Si hizo sifa 11 za wanawake..... Ina maana wanawake hawana mazuri..??..
Maana aliyeleta huo uzi kila sifa aliyoitaja ametaja uzuri na ubaya wake, lakini ubaya ameukazia sana..... [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
 
Mawazo ya nn
Si hizo sifa 11 za wanawake..... Ina maana wanawake hawana mazuri..??..
Maana aliyeleta huo uzi kila sifa aliyoitaja ametaja uzuri na ubaya wake, lakini ubaya ameukazia sana..... [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
 
Ushirikina
Wizi
Umalaya
Ujuaji mbona hata baadhi ya wanaume pia wana hizo tabia?
Acheni kuwasema sema wanawake jamani hizo ni laana mwanaume mzima unakaa na kumnyambua mwanamke utafikiri we ulijizaa au huna Dada looh!!
Hata wanaume tumewasema mbona
 
Back
Top Bottom