AICC, Arusha: Wakili Fatma A. Karume aangua kilio akiwahutubia Mawakili Wasomi

Hii ya wakili msomi mimi sielewi au jamaa ni wa Kagera nini? maana msomi msomi hivi ktk Tz wakili anayesimamia na kutetea kesi anawezakutoka mstuni na kutinga mahakamani. Ona aibu mlelata mada maana umeondoa ata ulichotaka kuleta maana kulia na msomi vyote ni upumbavu. Ndiyo maana Ufipa lazima kutakuwa na tatizo tu.
Sasa alichokifanaya ni nini kwa huo mwaka au kutetea mapenzi ya jinsia moja na kinyume cha maumbile ndiyo kinamliza. Acheni ujinga kizazi chenu kinaondoka tumewavumilia sana imetosha. Pam^"*%)$f.
 
Tunawaomba kwenye uchaguzi wa kesho msije mkatuchagulia pandikizi la ccm
Rais anayemaliza muda wake wa Chama cha Mawakili Tanganyika(TLS), Wakili Msomi Fatma Karume ameangua kilio alipokuwa akifungua Mkutano wa Mawakili Wasomi unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha(AICC).

Wakili Msomi Karume alikuwa akitoa ripoti ya majukumu na utekelezaji wa majukumu hayo kwa kipindi chake cha Urais wa TLS. Ripoti hiyo imesheheni mafanikio yake yakiwemo kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ndani ya TLS na kusimamia utawala wa sheria kwenye nchi hii.

Wakili Msomi Fatma Karume alimaliza hotuba yake kwa kuangua kilio akiwaambia Mawakili Wasomi kuwa wamempa heshima kubwa na nafasi adimu na adhimu kuwaongoza kama Rais wao kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Katika kuonyesha kuwa amewagusa wahusika,Mawakili Wasomi walisimama kwa heshima huku wakimshangilia Wakili Msomi Fatma Karume. Kimsingi,Wakili Msomi Fatma Karume aliwaaga na kuwashukuru wanachama wote wa TLS.

Uchaguzi wa uongozi mpya wa TLS utafanyika kesho hapa Arusha.

In God we trust
 
Ametimiza ahadi zote alizo ahidi
Tupe taarifa alipoomba kura achaguliwe aliahidi nini na muda wake umeisha ametekeleza nini?

Mambo ya kulialia sidhani kama ni issue kubwa sana kwa great thinkers kujadili.

ACHA KULIA WEKA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA AHADI ZAKO MAMII.

Queen Esther

In God we trust
 
Rais anayemaliza muda wake wa Chama cha Mawakili Tanganyika(TLS), Wakili Msomi Fatma Karume ameangua kilio alipokuwa akifungua Mkutano wa Mawakili Wasomi unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha(AICC).

Wakili Msomi Karume alikuwa akitoa ripoti ya majukumu na utekelezaji wa majukumu hayo kwa kipindi chake cha Urais wa TLS. Ripoti hiyo imesheheni mafanikio yake yakiwemo kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ndani ya TLS na kusimamia utawala wa sheria kwenye nchi hii.

Wakili Msomi Fatma Karume alimaliza hotuba yake kwa kuangua kilio akiwaambia Mawakili Wasomi kuwa wamempa heshima kubwa na nafasi adimu na adhimu kuwaongoza kama Rais wao kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Katika kuonyesha kuwa amewagusa wahusika,Mawakili Wasomi walisimama kwa heshima huku wakimshangilia Wakili Msomi Fatma Karume. Kimsingi,Wakili Msomi Fatma Karume aliwaaga na kuwashukuru wanachama wote wa TLS.

Uchaguzi wa uongozi mpya wa TLS utafanyika kesho hapa Arusha.
Hongera Sana FK,hakika umewapelekesha NZI wa Kijani.
 
Rais anayemaliza muda wake wa Chama cha Mawakili Tanganyika(TLS), Wakili Msomi Fatma Karume ameangua kilio alipokuwa akifungua Mkutano wa Mawakili Wasomi unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha(AICC).

Wakili Msomi Karume alikuwa akitoa ripoti ya majukumu na utekelezaji wa majukumu hayo kwa kipindi chake cha Urais wa TLS. Ripoti hiyo imesheheni mafanikio yake yakiwemo kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ndani ya TLS na kusimamia utawala wa sheria kwenye nchi hii.

Wakili Msomi Fatma Karume alimaliza hotuba yake kwa kuangua kilio akiwaambia Mawakili Wasomi kuwa wamempa heshima kubwa na nafasi adimu na adhimu kuwaongoza kama Rais wao kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Katika kuonyesha kuwa amewagusa wahusika,Mawakili Wasomi walisimama kwa heshima huku wakimshangilia Wakili Msomi Fatma Karume. Kimsingi,Wakili Msomi Fatma Karume aliwaaga na kuwashukuru wanachama wote wa TLS.

Uchaguzi wa uongozi mpya wa TLS utafanyika kesho hapa Arusha.

Taarifa yako ni nzuri ila umeandika kishabiki.
Mimi ninacho jua ni kuwa mawakili wote ni wasomi, sasa unaporemba habari hii kwa kusema wakili msomi sijui unataka kutuaminisha nini.
 
Taarifa yako ni nzuri ila umeandika kishabiki.
Mimi ninacho jua ni kuwa mawakili wote ni wasomi, sasa unaporemba habari hii kwa kusema wakili msomi sijui unataka kutuaminisha nini.
Ulitaka Khamis nimuite Jumanne?
 
Taarifa yako ni nzuri ila umeandika kishabiki.
Mimi ninacho jua ni kuwa mawakili wote ni wasomi, sasa unaporemba habari hii kwa kusema wakili msomi sijui unataka kutuaminisha nini.

Ulikatazwa usisome sheria?

Moja ya achievement kubwa kwa Shangazi wa Taifa ni kuikimbiza serikali mpaka hotuba yake ikazuiliwa kwenye kilele cha siku ya sheria.

That was one cool moment, she never shied away from airing her opinions on anything that went against the rule of law.

Respect Shangazi wa Taifa.
 
Back
Top Bottom