Watu kama nyie lazima muwepo katika jamii. Unafikiri kwa nini diwani na mbunge ni waheshimiwa?Hii ya wakili msomi mimi sielewi au jamaa ni wa Kagera nini? maana msomi msomi hivi ktk Tz wakili anayesimamia na kutetea kesi anawezakutoka mstuni na kutinga mahakamani. Ona aibu mlelata mada maana umeondoa ata ulichotaka kuleta maana kulia na msomi vyote ni upumbavu. Ndiyo maana Ufipa lazima kutakuwa na tatizo tu.
Sasa alichokifanaya ni nini kwa huo mwaka au kutetea mapenzi ya jinsia moja na kinyume cha maumbile ndiyo kinamliza. Acheni ujinga kizazi chenu kinaondoka tumewavumilia sana imetosha. Pam^"*%)$f.
Mbunge hata kama akiwa darasa la saba utamwita Mh mbunge....wakili kuitwa wasomi ndo sifa yao,hutaki nyamaza.
Sent using Jamii Forums mobile app