🤣🤣🤣🤣Hapo Takukuru watakwambia tunawaachia ccm wenyewe maana wana utaratibu wao wa kushughulikia hizi kesi zao
Hii nchi inasikitisha sana aisee, Na aliyesema hivi ni mtu alikuwa kanali sijui Brigadia wa Jeshi. Mambo mengine yanauma sana yaani na ndio vyanzo vya laana katika nchi.
Takukuru kile kitendo cha kuacha kuwakamata na kuwashtaki ccm kipindi cha uchaguzi 2020 Mlikosea sana.
hapo
