Aibu ya UVCCM kwa taifa

Aibu ya UVCCM kwa taifa

Ccm yetu na Rushwa ni kama Njaa

Maana rafiki wa kweli duniani

Ni njaa kwani hawezi kukuacha popeye

Hivyo hivyo Ccm na Rushwa ni ndugu wa Damuu.

Hata hawa walamba asalii wanajua

Muulize Makamba aliingiaje bungeni
 
Rushwa kwa chama hiki haikwepeki ndio maana hata serikali yake inaendeshwa kwa rushwa kila idara.
Mimi nimebahatika kuwapo kwenye eneo uchaguzi wa jumuia moja wapo ngazi ya wilaya ulikuwa unafanyikia na kushuhudia wabunge na madiwani wakitembeza mshiko wa kutosha ili kuwezesha wagombea wao washinde uchaguzi huo!
 
Mkuu 'johnthebabtist', hata kama tabia na mazoea ni ya kiutani utani, lakini inapofikia kwenye maswala ya namna hii, hata hustuki kabisa?
Wewe ni mtu wa namna gani hasa!
Unaelewa maana ya Hatari sana bwashee

Unajua hao Makamanda wenu wakihamiaga CCM huwa wanaielezea vibaya sana Chadema na wanaamini CCM kuna afadhali

Ndio sababu nasema ni Hatari sana!
 
Unaelewa maana ya Hatari sana bwashee

Unajua hao Makamanda wenu wakihamiaga CCM huwa wanaielezea vibaya sana Chadema na wanaamini CCM kuna afadhali

Ndio sababu nasema ni Hatari sana!
Leo upo kwenye ubora wako.
Na kweli ni tabia yako na wala siyo utani au tokeo la mara moja moja!
Ni ugonjwa, kama ule wa kifafa, ambao ukimkuta mhusika hali ni nzuri utadhani hana matatizo yoyote, hadi hapo hali yake itakapomwingia ndipo utakapoona inavyomsumbua.

Basi, sina la zaidi nawe tena.
 
Leo upo kwenye ubora wako.
Na kweli ni tabia yako na wala siyo utani au tokeo la mara moja moja!
Ni ugonjwa, kama ule wa kifafa, ambao ukimkuta mhusika hali ni nzuri utadhani hana matatizo yoyote, hadi hapo hali yake itakapomwingia ndipo utakapoona inavyomsumbua.

Basi, sina la zaidi nawe tena.
Mungu wa mbinguni akubariki sana bwashee

Tunasubiri FIFA World Cup
 
Tazameni matendo ya hovyo kwenye chaguzi zinazo endelea ndani ya uvccm.

Hii ni aibu kubwa sana kwa taifa la watu waliostaarabika.

Takukuru fanyeni kazi yenu bila kuangaliana itikadi.View attachment 2421145
Hao takukuru,wataanzia wapi?viongozi wao wote ni ccm,jeshi ni ccm,utumishi wa umma ni ccm,wengine wanakuwa ccm Ili kupata ulaji wao,sasa hv hata mikopo ya Elimu ya juu,wanaangalia kama ni mtoto wa kada wa ccm.
 
Hao takukuru,wataanzia wapi?viongozi wao wote ni ccm,jeshi ni ccm,utumishi wa umma ni ccm,wengine wanakuwa ccm Ili kupata ulaji wao,sasa hv hata mikopo ya Elimu ya juu,wanaangalia kama ni mtoto wa kada wa ccm.
Twaaaafwaaaaaaa
 
Hao takukuru,wataanzia wapi?viongozi wao wote ni ccm,jeshi ni ccm,utumishi wa umma ni ccm,wengine wanakuwa ccm Ili kupata ulaji wao,sasa hv hata mikopo ya Elimu ya juu,wanaangalia kama ni mtoto wa kada wa ccm.
Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom