geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 166
Tatizo lenu UDOM mnaendekeza siasa sana....Matawi ya CCM ohh...ubunge CCM nk...au kwakuwa mpo karibu na Chimwaga na kambi za chama cha mafisadi.... Ondoeni hizo itikadi muwe kama UDSM utaona kama hizi aibu za maji, vyoo vichafu na umeme kukatika ovyo vitaendelea kuwepo... Msikubali kuwa Chuo Kikuu cha Mapinduzi