Aibu naona mimi

Mpaka sasa hujachukua namba Unajiita baharia? ?




Cc Smart911
Namba ilisha chukuliwa toka jana mamii,hapa napalilia circumstances za kuja kula tunda hapo mbelen,uzur wangu huwaga sina haraka,yaan kenyew katajitia tundun

Mchana leo kamenianza kenyew,et karib lunch,sasa hapo kuna nin tena,weekend,nakapeleka KFC,..badae nakanunulia pizza kanalia kwenye gar huku nakashikashika,game is over,katakuja kenyew tuu,walah sikatamkii hata neno moja la mapenz,kataleta kenyew utam tena nyumban kwangu,hahahah
 
Hahahaha. .. usilaze damu ndo mabinti wa miaka hii no way!


Cc Smart911
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku nawe unaogopa mizinga kama nakuona unavyolimezea mate kulitamani [emoji23][emoji23]
 

Si unaona nilijua huwezi acha kuchukua namba
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku nawe unaogopa mizinga kama nakuona unavyolimezea mate kulitamani [emoji23][emoji23]
Uchumi umeyumba ndugu yangu,siko vzur,lazma niwakimbie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…