Duh! CHADEMA wanaangaika, wanadhani kila mtu ana muda?
siku zote mabadiliko huletwa na wachache....usihofie sana, wingi wa watu siyo jibu la kukubalika au la
CDM hawajawahi kufadhaika kwa uchache wa watu mikutanoni, ndiyo changamoto za kisiasa, ....sijui
kwanini iwe "AIBU KUBWA" ... hatushindani kwa idadi za watu mikutanoni tunapambana kwa hoja tuwaachia watanzania
waamue wenzetu nyie ... mna wakurugenzi wa miji na halmashauri ambao ndio wasimamizi wa chaguzi zote na hawa wanateuliwa na Waziri Mkuu aliyeteuliwa na Rais kutoka CCM, .... mnatakiwa kusemewa tu mmeshinda na inakua hivyo lakini wataka mabadiliko hawachoki kushiriki nanyi katika upendeleo wenu huo wa wazi wazi ..."MPAKA KIELEWEKE"
WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
Chadema haina mvuto Dar. Wale wanatamba wakiwa Arusha na Moshi. Haya ndiyo matatizo ya vyama vya ukanda na ukabila. Halafu eti wapewe nchi??!!! Watajaza wachaga tupu ikulu mapimbi hawa
Kama umeona idadi ndogo nenda wewe na mumeo mkaongeze idadi...
Una kiherehere utadhani mkojo wa asubuhi, unawaaaaashwa mwenyewe! Nakuona unabidii kweli!
WanaJF!
Nimepita hapa Manzese kwenye mkutano wa CHADEMA walio uandaa kwa ajili ya mjadala wa katiba mpya.
Jambo ambalo ni la kushangaza ni idadi ndogo sana ya watu utadhani wana hutubia kitchen party au send-off.
Ingawa kulikuwa na juhudi za kutosha katika kuutangaza mkutano huo, lakini watu wa Dar hawana muda wa kupoteza hivyo mwitikio umekuwa mdogo mno.
DALILI YA CHADEMA KUCHOKWA INA DHIHIRI.
taahira ni taahira tu,muulize mkuu wako KILAZA ni chama gani anakiogopa kuliko MOTO, atakwambia jinsi GENGE la mafisadi LINAVYO HAHA kutumia vyombo vya dola na watumwa kama WEWE kusambaza mtindio kama huu wako.wameshajaribu sana but upeo wao mdogo sana.jaribu kuwasaidia vilaza wenzio.ila nafikiri mnge anza na MAGAMBA kwanza.kidogo mnge aminika.
MAKAMANDA wamebanwa kisawa sawa. CCM Manzese hongera zenu!