Ni vigezo gani vilitumika kuifanya Arusha kuwa jiji?
Ni vigezo gani vilitumika kuifanya Arusha kuwa jiji?
Ni vigezo gani vilitumika kuifanya Arusha kuwa jiji?
Swali gumu sana...
Acha ujinga. Nenda magogoni ukawaulize.. kwani JF umeambiwa siku ndo walizindua hilo jiji...
Nasikia harufu ya kitu cha Kismiri juu...Acha ujinga. Nenda magogoni ukawaulize.. kwani JF umeambiwa siku ndo walizindua hilo jiji...
Mkuu Sizinga nadhani kuna zoezi la kubadilisha nguzo linaendelea, Maana kuna jamaa yangu kule arusha aliniambia wanakosa umeme kwa ajili ya zoezi hilo.
Porojo hizo naona wamekutumaa sasa!