mie nikajua jambo la ajabu kumbe hilo..namwambie peleka chumbani mtoto mzuri siku nyingine usirudie
sherehe inaendelea kama kawaida
Habari wana Jf,
Juzi kwa rafiki yangu kulikuwa na sherehe ya kuvishwa pete ya uchumba mdogo wake,watu tulikuwa wengi tu sebuleni,
Ghafla ktk hali isiyotarajiwa aliibuka mtoto wa mdogo wake akiwa amevaa Ch*pi ya mama yake kichwani,kwa kuwa watu walikuwa busy hakuna aliyemuona,yule mtoto alikuja katikati hadi kwa mama yake na mchumba wake na kukaa pale,
aisee sikuweza kuendelea kukaa, nilitoka nje kwa aibu.
Sasa swali linarudi kwako,ungekuwa wewe ndo bi mdada muolewaji ungefanya nini?
Haaahaaaa, mkuu, huyo mjamba atafutiwe makazi mengine ya muda hadi dogo atakapokomaa ulimi wake! Tangaza curfew haraka mkuu...! Kha dogo matata sana huyo. Mwambie kuna 'jomba' wake mwingine yuko JF anamsalimia!Hizo burudani tu za watoto......
Mie mwanangu mdogo kusema mjomba hawezi, anasema "Ntomba"!
Sasa wakija wageni na mjomba wake yupo karibu inakuwa balaa!!
Kwani wewe ulijuaje ni ya mama yake?
Habari wana Jf,
Juzi kwa rafiki yangu kulikuwa na sherehe ya kuvishwa pete ya uchumba mdogo wake,watu tulikuwa wengi tu sebuleni,
Ghafla ktk hali isiyotarajiwa aliibuka mtoto wa mdogo wake akiwa amevaa Ch*pi ya mama yake kichwani,kwa kuwa watu walikuwa busy hakuna aliyemuona,yule mtoto alikuja katikati hadi kwa mama yake na mchumba wake na kukaa pale,
aisee sikuweza kuendelea kukaa, nilitoka nje kwa aibu.
Sasa swali linarudi kwako,ungekuwa wewe ndo bi mdada muolewaji ungefanya nini?