Mjomba Itufae
Senior Member
- Dec 6, 2016
- 182
- 208
Jamaa alikosea palepale alipogundua yule ni mkewe! Angemwambia nilijua tu upo huku ndio maana nikakufata. Mwanaume kama mwanaume hutakiwi kukubali hata kama umeshikwa upo juu ya kiuno cha dada. Ukikubali kosa ndipo matatizo yatakapoa anza. Wanawake hawapendi kuambiwa ukweli hata kama ameona live kwa macho yake