Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,436
Hatari sana Sheikh, kwa sauti ya Sheikh Hillary Kipozeo
Fact,ingekua mm namwoa tena!Huyo msichana ana hekima hata aliyemwoa kapata mke bora.
Mwanamke mwenye busara huijenga nyumba yake. Huyo mama ataona uzee wa ndoa yake kama alivyomtaja Ibrahim
Aisee wanatumika kinomaIla asilimia kubwa ya hivi visichana vya kazi havisemi aisee..yaani anakula mtoto,baba,jirani...yaani muda wako tu..Mungu atuepushe..
Umeona ehhFact,ingekua mm namwoa tena!
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Msambwanda hujawahi kumuacha rijali salamaChuchu tu ndo huwa znatuponza wanaume kwa
Kweli chuchu saa sita
Hazmuach mwanaume salama
Wanaume tumeadimikaMa-house girl wa enzi hizo wa sasa mmmmhh tena angefanya juu chini ujue kuwa mnakula wote.
MUNGU awarehemu wanaume (baadhi).
Team workHuyo msichana ana hekima hata aliyemwoa kapata mke bora.
Mwanamke mwenye busara huijenga nyumba yake. Huyo mama ataona uzee wa ndoa yake kama alivyomtaja Ibrahim
Ana hekima sanaDah good story ila bimkubwa nimemkubali.
Joseverest siku hizi anapwaya sanaJapo hii ni Shigongo style, ila Mama alitumia busara ya hali ya juu sana. Walio wengi wangemtimua huyo HG haraka sana maana kuepuka competition iliyoibuka. A good lesson kwa wamama (na wababa?) wote.
Joseverest akitia mguu tu, mimi ntatoka hapa. I am out of my comfort zone🙂
Role model wa mahausigeliInteresting..
House girl wa kukata na shoka!
DeterminationDaaaa hakika huyo mama alikuwa shupavu Na muelewa.. Hakutaka kuanzisha gubu na dada wa kazi icho nazani ndicho kilicho nusuru ndoa yake... Busara ni kitu cha muhimu sana katika maamuzi..
Wajifunze kwa kweliThanks....ni funzo kwa wengi wa aina hii
Amebarikiwa hekima ya SuleimanHuyo mama atakuwa ni wa enzi za wahenga.
Miaka hii ya Makinikia huwapati wa hivyo.
Huu Msambwanda unao au ni avatar tu? Msambwanda hujawahi kumuacha rijali salamaSTORY NZURI
Super mom qualityHuyo mama wa sampuli hiyo niadim sana
Kafungua milango yake ya fursa, hapo atapata mtaji na incrementStory nzuri ila huyo houseGirl nae alikuwa Kilaza!
KWELI JAMANIWanawake wote wangekuwa na busala kama huyu mama ndoa zote zingedum milele