Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,060
- 18,411
Mnatubebesha mzigo Wa kulisha haya majitu jela. Ahasiwe tu aje kujitafutia riziki
Kama dini ganiLakini kuna baadhi ya dini zinaruhusu huu udharimu!
ishu hapa nadhani ni umri mdogo ndio maana kala mvua 30.Walifanya DNA kuthibitisha ni mtoto wake wa kumzaa?
dini gani inaruhusu????Lakini kuna baadhi ya dini zinaruhusu huu udharimu!
Atakuwa na vinasaba vya kuku c bure.
Jamaa ni mkweli sana ndio baba wa mtoto hivyo anajua umri sahihi wa mtotoWamefunga taahira kwa kitendo alichokifanya na utetezi wake huyo jamaa ni mgonjwa wa akili.
Uzuri Isanga na Mirembe si mbali akifika Isanga watajua wamuweke wape kama Isanga au Mirembe akipona atarudishwa panapostahiliWamefunga taahira kwa kitendo alichokifanya na utetezi wake huyo jamaa ni mgonjwa wa akili.
Nisiposema neno nitakuwa sijatenda hakiAu masharti ya mganga?
Kwani ukifanya biashara unakula mtaji au faida :jamaa moja lilimuuliza hakimu miaka ya tisini kwa kesi kama hiyo
Mkuu ukipata muda nenda ugugo 'mom son incest in India' halafu ukimaliza uje nchi za Africa zinazotumia English. Yaani unafuta India unaweka hizo nchi. Vitu hivi vipo Sana kwenye jamii ila KIMYA KIMYA.Nisiposema neno nitakuwa sijatenda haki
Kuna matukio mengi sana ya namna hii miaka kama mitatu nyuma ilikuwa haipiti wiki bila kusikia tukio la kinyama kama hienyeji kwa ajili ya kupata mali na utajiri au bahati na ngekewa