Ahsanteni ghana ...waarabu si waafrika

Ahsanteni ghana ...waarabu si waafrika

Naishi Dunia ya Watu
waliojitambua! Wahindi ,Waarabu watabaki kuwa hivo AFRIKA NI YA WAAFRIKA
WEUSI ,HATA WAO WANAJUA NDIO MAANA HAWACHANGANYIKI /LABADA WAWE
WANATAKA KUCHUKUA VISENTI VYAKO PUSI WEWE!

ha ha hahahahaa hahahahaa ha ha ha ha ha ha ! !
 
Unajua kubwa warabu nI wengi wanaishi afrika kuliko arabuni

Hawaelewi hao hata maana ya Uarabuni, hata Nzega kuna Uarabuni hata Bujumbura kuna Uarabuni.

Hakuna nchi duniani inaitwa Uarabuni.
 
kweli dunia ina maajabu nawe kyalosangi ni wa ajabu!! Mchezo wa mpira tu umekufanya uwemropokaji na mbaguzi!!
Haki yako kufurahia ushindi wa ghana... Ingelikuwa unashangilia taifa stars hapo ungestahili tuzo.!! Sasa unachanganya chuki na hasira zako ilimradi utoe joto lako go ahead jiburudishe, lakini weka kichwani afrika na uweusi unaoufahamu wewe ni wako pekee!! Hivi sasa afrika haijigambi au kubweteka kwa rangi yake au ubantu wake.(( masiala na mambo ya rangi yamepitwa na wakati )) damu zimeshachanganyika makabila ya waarabu na makaburu na wazungu pori wamezaana na waafrika na kuunda taifa la kisasa. Fyi tazama namibia,mauritania, morroco,sudan,s/africa,tanzania,misri nk... Nawe kesho utaanza kutafuta mke wa kiaarabu! Au viongozi wako wapo njiani kusaka wazungu au waarabu!! Tme will tell.
ahsante kamnda ila natumaini nimeeleweka! Afrika ni ya weusi bana!
 
ahsante kamnda ila natumaini nimeeleweka! Afrika ni ya weusi bana!
Mkuu acha kujidanganya wapo mchanganyiko na percenti fulani tu ndiyo rangi uipendayo !! Fungua kifua chako uvute pumzi ndefu afu pumua nje!! utaelewa zaidi ya ulivyo..
Ok, kila la heri siku zijazo Misiri itaongoza tena Ubingwa (( watamaliza matatizo yao )) we poa uone!!
 
Hawaelewi hao hata maana ya Uarabuni, hata Nzega kuna Uarabuni hata Bujumbura kuna Uarabuni.

Hakuna nchi duniani inaitwa Uarabuni.
Hawa wezi waliomaliza ndovu wetu na wizi mwingine...usinitie hasira!
 
mbona waafrika tunabaguliwa sana.sasa mnataka yshahidi gani waarabu sio waafrika asiyetaka achchumae anye.ubaguzi tufanye sie ndo waonekana.
 
Back
Top Bottom