Ahsante sana mama mkwe

Ahsante sana mama mkwe

aisee kwa maelezo hayo nimemfahamu huyo mama mkwe wako,sasa nakupa onyo kama lengo lako ni kumpotwza huyo mdada plz stop maana ntamweleza huyo mkweo na nitmuonesha uluchoandika hapa,asome kuwa kumbe amemkabidhi mwanae joka

Mkuu usijekuwa ni yule Mangi muuza genge pale jirani na Mama mkwe wangu. Jipendekeze uone utakavyopokelewa huko kuzimu
 
Haa🤣😁😃😂
Virgin Yaani Usipooa Wa Hivyo Ujue Bado
Tanzania Lazima Iende Mbele
Uongozi Wa Jamiiforums.com
Utatengenezee Kitabu Kidogo Cha Thread Zetu

Itakuwa bomba sana. Ila kitabu cha chenye pumba kitakuwa na kurasa nyingi sana
 
Haaaaaa mkuu mbona kama umeelezea Kisa/mkasa wangu kabisa .....shule sawa, jkt tofauti ni ruvu, nyumban kwa mwanamke ni mbeya haaaaaa
 
Haaaaaa mkuu mbona kama umeelezea Kisa/mkasa wangu kabisa .....shule sawa, jkt tofauti ni ruvu, nyumban kwa mwanamke ni mbeya haaaaaa

Kuna watu wanasema eti ni chai ya ukwaju sijui mapera.
 
Haaaaaaa jf bhana kila MTU anajua, amesoma UD,ana demu mkali, ana gariiii nzuriii hhaaaaaa

Teh..tehe! Sisi akina pangusa institute college tunabung'aa tuu
 
Back
Top Bottom