Kwa mwendo huu na kasi ya Mhe. Rais Mama Samia nimekubali kweli kwenye kasi ya kuleta maendeleo kwa wananchi Mama SSH na Hayati JPM ni kitu kimoja.
Ndani ya mwaka mmoja tumeshuhudia kasi ya mendeleo ktk kila kona ya nchi yetu, kaifungua nchi ndani na nje.
Kama haitoshi katika kuboresha zaidi elimu mwaka huu katangaza elimu Bure kidato cha tano na cha sita, ahsante sana Rais.
Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tumeshuhudia madarasa yenye hadhi ya ulaya kwa fedha za uviko 19, ahsante sana Rais.
Mabilioni ya fedha yametolewa kwenye ujenzi wa barabara za mijini na vijijini TARURA.
Miradi ya ujenzi wa barabara inaendelea kila kona ya nchi hii, fedha zimemwagwa kila kona.
Mama ni mkali kwenye matumizi ya ovyo ya fedha za umma, ukitaka uzijue rangi zake zote wewe jaribu kufuja fedha za umma halafu utaona utakavyo ungua hadi mifupa.
Fedha zimemwagwa kila jimbo, ruzuku za kilkmo, madai ya watumishi, n.k
Vituo vya afya, maji vimeboreshwa zaidi.
Kwakweli mambo ni mengi mengi mazuri sana
Ahadi yetu sisi wananchi ni kuzidi kumuombea Mungu amlinde na amtunze Rais wetu.
Ni kiongozi mwenye hofu ya Mungu, mwenye huruma, asiye penda kujilimbikizia mali kama ilivyo kwa baadhi ya viongozi wanao pata nafasi basi huanza kujikusanyia wao na ndugu zao, sio kwa Mama. ni kiongozi wa kipekee asiye na majivuno wala majigambo. ni mfano mzuri wa kuigwa na wengine.
Mungu mbariki Rais wetu Mama Samia Hasani.
Ushauri kwa Waziri wa Elimu;
Hakikisha unatumia maarifa yako yote wewe pamoja na wasaidizi wako ktk elimu wanaboresha Elimu kwa shule zote za Serikali, kwani shule hizi ndio kimbilio la watanzania walio wengi na wasio na uwezo wa kipato hivyo wanayo Haki kabisa ya kupata elimu bora.
Tuboreshe elimu yetu kwa kuajiri walimu na wataalamu wenye sifa na uwezo wa hali ya juu.
Kazi iendelee..........
Ndani ya mwaka mmoja tumeshuhudia kasi ya mendeleo ktk kila kona ya nchi yetu, kaifungua nchi ndani na nje.
Kama haitoshi katika kuboresha zaidi elimu mwaka huu katangaza elimu Bure kidato cha tano na cha sita, ahsante sana Rais.
Kwa mara ya kwanza tangu uhuru tumeshuhudia madarasa yenye hadhi ya ulaya kwa fedha za uviko 19, ahsante sana Rais.
Mabilioni ya fedha yametolewa kwenye ujenzi wa barabara za mijini na vijijini TARURA.
Miradi ya ujenzi wa barabara inaendelea kila kona ya nchi hii, fedha zimemwagwa kila kona.
Mama ni mkali kwenye matumizi ya ovyo ya fedha za umma, ukitaka uzijue rangi zake zote wewe jaribu kufuja fedha za umma halafu utaona utakavyo ungua hadi mifupa.
Fedha zimemwagwa kila jimbo, ruzuku za kilkmo, madai ya watumishi, n.k
Vituo vya afya, maji vimeboreshwa zaidi.
Kwakweli mambo ni mengi mengi mazuri sana
Ahadi yetu sisi wananchi ni kuzidi kumuombea Mungu amlinde na amtunze Rais wetu.
Ni kiongozi mwenye hofu ya Mungu, mwenye huruma, asiye penda kujilimbikizia mali kama ilivyo kwa baadhi ya viongozi wanao pata nafasi basi huanza kujikusanyia wao na ndugu zao, sio kwa Mama. ni kiongozi wa kipekee asiye na majivuno wala majigambo. ni mfano mzuri wa kuigwa na wengine.
Mungu mbariki Rais wetu Mama Samia Hasani.
Ushauri kwa Waziri wa Elimu;
Hakikisha unatumia maarifa yako yote wewe pamoja na wasaidizi wako ktk elimu wanaboresha Elimu kwa shule zote za Serikali, kwani shule hizi ndio kimbilio la watanzania walio wengi na wasio na uwezo wa kipato hivyo wanayo Haki kabisa ya kupata elimu bora.
Tuboreshe elimu yetu kwa kuajiri walimu na wataalamu wenye sifa na uwezo wa hali ya juu.
Kazi iendelee..........