PreGE2025 Ahmed Shabiby ambaye anamaliza muda wake amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Gairo

PreGE2025 Ahmed Shabiby ambaye anamaliza muda wake amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Gairo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mbunge wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro Ahmed Shabiby ambaye anamaliza muda wake amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Gairo.

Shabiby ambaye ndiye aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo amechukua fomu mapema leo Juni 28.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Zoezi la uchukuaji fomu katika Chama Cha Mapinduzi CCM limeanza leo na watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za Ubunge na Udiwani na Ubunge wa Viti Maalum.
SaveClip.App_514639030_999127382119580_159651664038292683_n.jpg

Source: TV E
 
Sasa hivi attention ni uchukuaji fomu CCM. Kule kwingine kimyaaa!
 
Mbunge wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro Ahmed Shabiby ambaye anamaliza muda wake amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Gairo.

Shabiby ambaye ndiye aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo amechukua fomu mapema leo Juni 28.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Zoezi la uchukuaji fomu katika Chama Cha Mapinduzi CCM limeanza leo na watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za Ubunge na Udiwani na Ubunge wa Viti Maalum.
View attachment 3387266
Source: TV E
WAJUMBE: Kata jina hilo,
KAMATI KUU: Thubutuu
 
Sheria ipitishwe ukomo wa ubunge uwe miaka 10, maana hii mifisadi ya CCM imegeuza ubunge kama ajira
 
Mbunge wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro Ahmed Shabiby ambaye anamaliza muda wake amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Gairo.

Shabiby ambaye ndiye aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo amechukua fomu mapema leo Juni 28.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Zoezi la uchukuaji fomu katika Chama Cha Mapinduzi CCM limeanza leo na watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za Ubunge na Udiwani na Ubunge wa Viti Maalum.
View attachment 3387266
Source: TV E
Madaraka ya kulevya
 
Back
Top Bottom