Ahmed Ally: Usajili utakaofanywa na Simba utakuwa na umakini wa ICU

Ahmed Ally: Usajili utakaofanywa na Simba utakuwa na umakini wa ICU

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema kuwa usajili utakaofanywa na Simba safari hii utakuwa na umakini wa kiwango cha ICU (Intensive Care).

1752168785147.png
"Taarifa tu ni kwamba usajili wetu safari hii unafanyika kwa umakini wa ICU, na wachezaji waliopendekezwa na mwalimu wameshasajiliwa, na wengine wapo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili," ameandika Ahmed Ally kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram.

Aidha, ameongeza kuwa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuna taarifa mbalimbali kuhusu usajili wa Simba, ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakiihusisha Simba na kila mchezaji ili kuwapa thamani wachezaji wanaotaka kuwasajili.

"Kwa sasa tunamalizia kutoa barua kwa wale tunaoachana nao, kisha tuanze kuvurumisha Thank You na baada ya hapo tuanze kudondosha chuma kimoja baada ya kingine," amesema Ahmed Ally.
 
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema kuwa usajili utakaofanywa na Simba safari hii utakuwa na umakini wa kiwango cha ICU (Intensive Care).

"Taarifa tu ni kwamba usajili wetu safari hii unafanyika kwa umakini wa ICU, na wachezaji waliopendekezwa na mwalimu wameshasajiliwa, na wengine wapo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili," ameandika Ahmed Ally kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram.

Aidha, ameongeza kuwa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuna taarifa mbalimbali kuhusu usajili wa Simba, ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakiihusisha Simba na kila mchezaji ili kuwapa thamani wachezaji wanaotaka kuwasajili.

"Kwa sasa tunamalizia kutoa barua kwa wale tunaoachana nao, kisha tuanze kuvurumisha Thank You na baada ya hapo tuanze kudondosha chuma kimoja baada ya kingine," amesema Ahmed Ally.
Kama unasajili mchezaji kwa kutazama ubora tu wa huko anapotoka utaendelea kufeli.....
 
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema kuwa usajili utakaofanywa na Simba safari hii utakuwa na umakini wa kiwango cha ICU (Intensive Care).

"Taarifa tu ni kwamba usajili wetu safari hii unafanyika kwa umakini wa ICU, na wachezaji waliopendekezwa na mwalimu wameshasajiliwa, na wengine wapo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili," ameandika Ahmed Ally kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram.

Aidha, ameongeza kuwa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuna taarifa mbalimbali kuhusu usajili wa Simba, ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakiihusisha Simba na kila mchezaji ili kuwapa thamani wachezaji wanaotaka kuwasajili.

"Kwa sasa tunamalizia kutoa barua kwa wale tunaoachana nao, kisha tuanze kuvurumisha Thank You na baada ya hapo tuanze kudondosha chuma kimoja baada ya kingine," amesema Ahmed Ally.
Kefa kayombo fc
 
Ni lini wamewahi sema usajiri huu ni tia maji tia maji mara zote Huwa wanasema na kujimwambafai kinoma mara waibe wachezaji Airport
Nadhani kinachofuata kabla ya mwaka hauhaujaisha tutashuhudia umakini wa ICU kusajili kocha,,,,kwasababu siamini kama Kuna wachezaji wa ajabu watakaosajiliwa msimu huu na ikitokea kwenye ngao timu ikapoteza dhidi ya yanga...Fadlu atapewa ticket ya kwenda kwao
 
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema kuwa usajili utakaofanywa na Simba safari hii utakuwa na umakini wa kiwango cha ICU (Intensive Care).

"Taarifa tu ni kwamba usajili wetu safari hii unafanyika kwa umakini wa ICU, na wachezaji waliopendekezwa na mwalimu wameshasajiliwa, na wengine wapo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili," ameandika Ahmed Ally kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram.

Aidha, ameongeza kuwa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuna taarifa mbalimbali kuhusu usajili wa Simba, ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakiihusisha Simba na kila mchezaji ili kuwapa thamani wachezaji wanaotaka kuwasajili.

"Kwa sasa tunamalizia kutoa barua kwa wale tunaoachana nao, kisha tuanze kuvurumisha Thank You na baada ya hapo tuanze kudondosha chuma kimoja baada ya kingine," amesema Ahmed Ally.
Kampeni ya kutusahaulisha vipigo 5 mfululizo, na kuturai kukunua mijezi yenu na Simba day yenu. hatuji ng'o hatakama tumeshakata tiketi tangu mechi ya Barkane iliyokua ipigwe kwa Mkapa.
 
Back
Top Bottom