kufungwa ni gemu tu,nilimaanisha kuwa haina haja ya kutafuta kadi za bure wakati kuna mechi ya marejeano nyumbani.Mmebakia na professional tu tunapofungwa ndo maana hatusongi mbele, ndo wachezaji tulionao sasa mnataka tufanyaje manake kazi zenu kulaumu tu kuonyesha njia hamuonyeshi then haisaidiiiii