Ahly Athletic Club vs Dar Yanga Africam

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Wana JF na wapenzi wa soka Tanzania na kwingineko duniani kesho ile mechi ya Yanga na El Ahly au National Athletic Club ya Egypt ndio itakuwa inapigwa mida ya saa 1 jioni kwa saa za Afrika mashariki. Kwa mlioko Misri au wenye uwezo wa kuona mechi hii live muwe mnatuupdate hapo kesho mechi itakapoaanza.

Je wajua;


  1. Mechi itapigwa kwenye dimba la Cairo international Stadium lenye uwezo wa kuchukua watu 74,100. Uwanja huo upo katika kitongoji cha Nasr ndani ya jiji la Cairo na ulifunguliwa mwaka 1960.

    Mafanikio yao katika mashindano mbali mbali ni kama ifuatavyo;
    Egyptian League (31) (Egyptian Record): 1948/49, 1949/50, 1950/51, 1952/53, 1953/54, 1955/56, 1956/57, 1957/58 , 1958/59, 1960/61, 1961/62, 1974/75, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1979/80, 1980/81, 1981/82, 1984/85, 1985/86, 1986/87, 1988/89, 1993/94, 1994/95, 1995/96, 1996/97, 1997/98, 1998/99, 1999/00, 2004/05, 2005/06


    Egyptian Soccer Cup (34) (Egyptian Record): 1923/24, 1924/25, 1926/27, 1927/28, 1929/30, 1930/31, 1936/37, 1939/40, 1941/42, 1942/43, 1944/45, 1945/46, 1946/47, 1948/49, 1949/50, 1950/51, 1952/53, 1955/56, 1957/58, 1960/61, 1965/66, 1977/78, 1980/81, 1982/83, 1983/84, 1984/85, 1988/89, 1990/91, 1991/92, 1992/93, 1995/96, 2000/01, 2002/03, 2005/06

    Egyptian Super Cup (3) (Egyptian Record): 2003, 2005, 2006

    Sultan Hussein Cup (7): 1922/23, 1923/24, 1925/26, 1926/27, 1928/29, 1930/31, 1938/39

    Cairo League (5): 1938/39, 1941/42, 1942/43, 1947/48, 1949/50

    United Arab Republic League (1): 1960/61

    African Championships


    CAF Champions League (5) (Current Champion, African Record):
    1982, 1987, 2001, 2005, 2006

    African Cup Winner's Cup (4) (African Record): 1984,1985,1986, 1993


    CAF Super Cup (2) (Current Champion, African Record):2002, 2006, 2007

    Medalla de bronce en Japón:2006

    Afro-Asian Cup (1):
    1989

    Century Cup (Al-Ahly vs. Real Madrid) (1): 2001

    Arab Champions Cup (1): 1996

    Arab Cup Winners Cup (1):: 1995

    Arab Super Cup (2): 1997, 1998

    Kocha wao ni Manuel José de Jesus ambaye ni raia wa URENO, timu kapteni niEmad Meteeb na raisi wa club ni Hassan Hamdy mbaye yupo madarakani toka Mei 2002.

    Timu yao ya sasa ina wachezaji wafuatao;


    1

    POR
    Essam El-Hadary

    2

    DEF
    Islam El-Shater

    4

    DEF
    Emad El-Nahhas

    5

    DEF
    Ahmad El-Sayed

    6

    DEF
    Ahmad Sedik

    7

    DEF
    Shady Mohamed (capitán)


    8

    MED
    Mohamed Barakat


    9

    DEL
    Emad Moteab

    10

    DEL
    Ahmed Belal

    11

    MED
    Tarek El-Saiid

    12

    DEF
    Sebastiao Gilberto


    14

    MED
    Hassan Mostafa

    15

    DEF
    Abdulilah Galal

    17

    MED
    Anis Boujelbene

    18

    DEL
    Osama Hosny


    No.

    Posición
    Jugador

    19

    DEL
    Akwety Mensah

    20

    MED
    Mohamed Shawky

    21

    MED
    Mohamed Abdullah

    22

    MED
    Mohamed Aboutrika

    23

    DEL
    Flávio Amado


    24

    MED
    Ahmad Hassan Stakoza

    25

    MED
    Hossam Ashour

    26

    DEF
    Wael Gomaa

    27

    POR
    Amir AbdulHamid

    28

    POR
    Nader El-Sayed

    29

    DEF
    Ahmad Shedid Qinawi

    30

    DEF
    Mohamed Sedik

    31

    DEF
    Ahmed Adel

    32

    MED
    Haitham Al Fazani

    33

    DEL
    AbdelHameed Hassan

    Haya wanajangwani na watanzania kwa ujumla kesho kazi tunayo na tunaomba Mungu tuweze kuwaangusha vinara hawa wa soka Afrika na kuweka historia mpya ya soka Tanzania na Afrika.

    Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
 
Jamaa wanatugwaya sana cheki hii habari hapo chini,

Arrival of Tapes about Young Africans

El-Ahly's technical staff managed to get a set of videotapes of Tanzanian Young Africans in order to identify their strengths and weaknesses before facing them in the round of 32 of the African Champions League.

El-Ahly Assistant coach, Captain Hossam El-Badri made great efforts in order to obtain these tapes in coordination with the Egyptian ambassador in Tanzania.

the tapes containing games for the Tanzanian team against the champion of Comoros in the preliminary round of this tournament, as well as some matches in the Tanzanian league.

On the other hand, the date of arrival of the Tanzanian team to Cairo has not been set yet in order to arrange their accommodation, but it is expected to be known within the next few days as the match will be held at the Cairo Stadium next Sunday, the 15th of March.

It should be noted that Young Africans had qualified to this round after their win over the champion of Comoros in the preliminary round 14-1 on aggregate!
 
Current Egyptian League Table
# Team Pts
1. Al Ahly 45
2. Ennpi 39
3. Petrojet 39
4. Ismaily 38
5. Hidood 36
 
Last match kwenye ligi yao wamecheza March 10 na matokeo ni Olympi 0-3 Al Ahly

Kikosi cha Al Ahly kilikuwa;


Ramzy Saleh GK
Ahmed Belal (C)
Ahmed Fathy
Moataz Eino
Flavio
Hussam Ashour
Wael Gomaa
Mohamed Samir
Ahmed El Sayed
Ahmed Hassan
Sayed Moawad


Wafungaji ni;
21' [1-0] Ahmed Belal
60' [2-0] Ahmed Hassan
88' [3-0] Moataz Eino
 
Kikosi cha wapiganaji cha Yanga kilichopo Misri kinajumuisha wachezaji wafuatao;
Juma Kaseja, Obren Circkovic, Shadrack Nsajigwa, Fred Mbuna, Amir Maftah, Nurdin Bakari, George Owino, Nadir Haroub, Wisdom Ndhlovu, Geoffrey Bonny, Abdi Kassim, Shamte Ally, Athumani Iddi, Mike Baraza, Ben Mwalala, Boniface Ambani, Mrisho Ngassa, Jerry Tegete, Kiggi Makassy na Vincent Barnabas.

Mechi hii tunaisubiri kwa hamu hapo kesho
 
YANGA ambayo iliwasili Cairo Alhamisi na kupata mapokezi makubwa kutoka kwa maofisa wa ubalozi na Watanzania waishio nchini humo inakabiliwa na kibarua kigumu leo usiku itakapoikabili, Al Ahly, mabingwa watetezi wa Afrika katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa.


Wawakilishi hao pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu Afrika ambao wamefadhiliwa na ubalozi wa Tanzania mjini Cairo kwa chakula na huduma nyingine muhimu wanaingia uwanjani wakiwa na dhamira ya kufuta uteja na rekodi mbaya dhidi ya Waarabu.


Al Ahly imeanza moja kwa moja raundi ya kwanza kutokana na kuwa ni bingwa mtetezi. Mchezo huo utafanyika kwenye Uwanja wa Cairo.


Hata hivyo, timu hiyo iliyoiondoa Etoile d'Or Mirontsy ya Comoro kwa mabao 14-1 na inayoundwa na wachezaji wengi wa Taifa Stars iliyokuwa ikishiriki michuano ya Afrika nchini Ivory Coast mwezi huu, wachezaji na viongozi wao wameahidi kupigana kufa au kupona ili kubadili historia ya soka Afrika.


Nyota wake, Mkenya, Boniface Ambani aliyekuwa China kwa majaribio ya soka la kulipwa ataisaidiwa katika mchezo huo na Mrisho Ngassa, Ben Mwalala, Jerson Tegete na Mike Barasa katika ushambuliaji wakisaka mabao, ingawa wana kibarua kigumu cha kuwapita mabeki na ukuta mgumu wa Ahly.


Pia, kwa upande wa ulinzi, Shadrack Nsajigwa, Nadir Haroub 'Cannavaro', Nurdin Bakari wana jukumu zito la kumlinda kipa Juma Kaseja au Mserbia Obren Curkovic, ambao mmoja kati yao ndiye atayekuwa katikati ya milingoti mitatu.


Katika kiungo wanatarajiwa Godfrey Bonny, Athuman Idd 'Chuji', wachezaji wa Stars ambao waliondoka wakiahidi kucheza kwa bidii na maarifa ili kulinda heshima ya nchi yao.


Tangu kuwasili Cairo, baadhi ya wachezaji wa Yanga, akiwamo Mrisho Ngassa wamekuwa gumzo, wakifuatiliwa pia na vyombo vya habari vya hapa ambavyo vinaisifu timu yao, huku kocha Dusan Kondic akiwajibu wanahabari kuwa wasubiri kuiona uwanjani timu yake ambayo imejiandaa vizuri kwa mchezo huo.


Kondic ameahidi kuwa vijana wake watacheza kwa bidii na maarifa kama alivyowaelekeza ili kuiondoa Ahly katika michuano ya Afrika mwaka huu
 
MATOKEO YA MECHI ZA JANA NA LEO CAF Champions League 2009
Round of 32
Kampala City Council - Uganda 2 : 1 Supersport United - South Africa

51' Robert Ssentongo 1-0
47' Anthony Laffor 1-1
58' Brian Omony 2-1


Al-ittihad - Libya 1 : 1 Al Merrikh - Sudan
47' Mohamed Zubya 1-0
74' Haitham Tambal 1-1

Ajax Cape Town - South Africa 3 : 2 Monomotapa United - Zimbabwe
Primeiro de Agosto - Angola 0 : 1 Canon Yaondi - Cameroon
ASEC Abidjan - Ivory Coast 2 : 0 Etoile Filante de Ouagadougou - Burkina Faso
E.S. Sahel - Tunisia 2 : 1 ASO Chlef - Algeria
 
YANGA ambayo iliwasili Cairo Alhamisi na kupata mapokezi makubwa kutoka kwa maofisa wa ubalozi na Watanzania waishio nchini humo inakabiliwa na kibarua kigumu leo usiku itakapoikabili, Al Ahly, mabingwa watetezi wa Afrika katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa.


Wawakilishi hao pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu Afrika ambao wamefadhiliwa na ubalozi wa Tanzania mjini Cairo kwa chakula na huduma nyingine muhimu wanaingia uwanjani wakiwa na dhamira ya kufuta uteja na rekodi mbaya dhidi ya Waarabu.


Al Ahly imeanza moja kwa moja raundi ya kwanza kutokana na kuwa ni bingwa mtetezi. Mchezo huo utafanyika kwenye Uwanja wa Cairo.


Hata hivyo, timu hiyo iliyoiondoa Etoile d'Or Mirontsy ya Comoro kwa mabao 14-1 na inayoundwa na wachezaji wengi wa Taifa Stars iliyokuwa ikishiriki michuano ya Afrika nchini Ivory Coast mwezi huu, wachezaji na viongozi wao wameahidi kupigana kufa au kupona ili kubadili historia ya soka Afrika.


Nyota wake, Mkenya, Boniface Ambani aliyekuwa China kwa majaribio ya soka la kulipwa ataisaidiwa katika mchezo huo na Mrisho Ngassa, Ben Mwalala, Jerson Tegete na Mike Barasa katika ushambuliaji wakisaka mabao, ingawa wana kibarua kigumu cha kuwapita mabeki na ukuta mgumu wa Ahly.


Pia, kwa upande wa ulinzi, Shadrack Nsajigwa, Nadir Haroub 'Cannavaro', Nurdin Bakari wana jukumu zito la kumlinda kipa Juma Kaseja au Mserbia Obren Curkovic, ambao mmoja kati yao ndiye atayekuwa katikati ya milingoti mitatu.


Katika kiungo wanatarajiwa Godfrey Bonny, Athuman Idd 'Chuji', wachezaji wa Stars ambao waliondoka wakiahidi kucheza kwa bidii na maarifa ili kulinda heshima ya nchi yao.


Tangu kuwasili Cairo, baadhi ya wachezaji wa Yanga, akiwamo Mrisho Ngassa wamekuwa gumzo, wakifuatiliwa pia na vyombo vya habari vya hapa ambavyo vinaisifu timu yao, huku kocha Dusan Kondic akiwajibu wanahabari kuwa wasubiri kuiona uwanjani timu yake ambayo imejiandaa vizuri kwa mchezo huo.


Kondic ameahidi kuwa vijana wake watacheza kwa bidii na maarifa kama alivyowaelekeza ili kuiondoa Ahly katika michuano ya Afrika mwaka huu


Lahaula nikiifikiria hiyo aibu ya kesho hadi machozi yananitoka kweli loyality lakini hii ni best team in Africa.Angalau simba wana historia kule kwao lakini yanga,poleni.Mfanyakazi mwenzangu hapa raia wa Misri anasema wametutayarishia TANO tu sio nyingi kwa huruma waliyo nayo na sina sababu ya kutomuamini kwa sababu mpira ni uwezo na uwezo hata wakitaka nane wanao.Sasa tusubiri hiyo kesho.

SAHIBA.
 
Wana JF na wapenzi wa soka Tanzania na kwingineko duniani kesho ile mechi ya Yanga na El Ahly au National Athletic Club ya Egypt ndio itakuwa inapigwa mida ya saa 1 jioni kwa saa za Afrika mashariki. Kwa mlioko Misri au wenye uwezo wa kuona mechi hii live muwe mnatuupdate hapo kesho mechi itakapoaanza.

Je wajua;


  1. Mechi itapigwa kwenye dimba la Cairo international Stadium lenye uwezo wa kuchukua watu 74,100. Uwanja huo upo katika kitongoji cha Nasr ndani ya jiji la Cairo na ulifunguliwa mwaka 1960.

    Mafanikio yao katika mashindano mbali mbali ni kama ifuatavyo;
    Egyptian League (31) (Egyptian Record): 1948/49, 1949/50, 1950/51, 1952/53, 1953/54, 1955/56, 1956/57, 1957/58 , 1958/59, 1960/61, 1961/62, 1974/75, 1975/76, 1976/77, 1978/79, 1979/80, 1980/81, 1981/82, 1984/85, 1985/86, 1986/87, 1988/89, 1993/94, 1994/95, 1995/96, 1996/97, 1997/98, 1998/99, 1999/00, 2004/05, 2005/06


    Egyptian Soccer Cup (34) (Egyptian Record): 1923/24, 1924/25, 1926/27, 1927/28, 1929/30, 1930/31, 1936/37, 1939/40, 1941/42, 1942/43, 1944/45, 1945/46, 1946/47, 1948/49, 1949/50, 1950/51, 1952/53, 1955/56, 1957/58, 1960/61, 1965/66, 1977/78, 1980/81, 1982/83, 1983/84, 1984/85, 1988/89, 1990/91, 1991/92, 1992/93, 1995/96, 2000/01, 2002/03, 2005/06

    Egyptian Super Cup (3) (Egyptian Record): 2003, 2005, 2006

    Sultan Hussein Cup (7): 1922/23, 1923/24, 1925/26, 1926/27, 1928/29, 1930/31, 1938/39

    Cairo League (5): 1938/39, 1941/42, 1942/43, 1947/48, 1949/50

    United Arab Republic League (1): 1960/61

    African Championships


    CAF Champions League (5) (Current Champion, African Record):
    1982, 1987, 2001, 2005, 2006

    African Cup Winner's Cup (4) (African Record): 1984,1985,1986, 1993


    CAF Super Cup (2) (Current Champion, African Record):2002, 2006, 2007

    Medalla de bronce en Japón:2006

    Afro-Asian Cup (1):
    1989

    Century Cup (Al-Ahly vs. Real Madrid) (1): 2001

    Arab Champions Cup (1): 1996

    Arab Cup Winners Cup (1):: 1995

    Arab Super Cup (2): 1997, 1998

    Kocha wao ni Manuel José de Jesus ambaye ni raia wa URENO, timu kapteni niEmad Meteeb na raisi wa club ni Hassan Hamdy mbaye yupo madarakani toka Mei 2002.

    Timu yao ya sasa ina wachezaji wafuatao;


    1

    POR
    Essam El-Hadary

    2

    DEF
    Islam El-Shater

    4

    DEF
    Emad El-Nahhas

    5

    DEF
    Ahmad El-Sayed

    6

    DEF
    Ahmad Sedik

    7

    DEF
    Shady Mohamed (capitán)


    8

    MED
    Mohamed Barakat


    9

    DEL
    Emad Moteab

    10

    DEL
    Ahmed Belal

    11

    MED
    Tarek El-Saiid

    12

    DEF
    Sebastiao Gilberto


    14

    MED
    Hassan Mostafa

    15

    DEF
    Abdulilah Galal

    17

    MED
    Anis Boujelbene

    18

    DEL
    Osama Hosny


    No.

    Posición
    Jugador

    19

    DEL
    Akwety Mensah

    20

    MED
    Mohamed Shawky

    21

    MED
    Mohamed Abdullah

    22

    MED
    Mohamed Aboutrika

    23

    DEL
    Flávio Amado


    24

    MED
    Ahmad Hassan Stakoza

    25

    MED
    Hossam Ashour

    26

    DEF
    Wael Gomaa

    27

    POR
    Amir AbdulHamid

    28

    POR
    Nader El-Sayed

    29

    DEF
    Ahmad Shedid Qinawi

    30

    DEF
    Mohamed Sedik

    31

    DEF
    Ahmed Adel

    32

    MED
    Haitham Al Fazani

    33

    DEL
    AbdelHameed Hassan

    Haya wanajangwani na watanzania kwa ujumla kesho kazi tunayo na tunaomba Mungu tuweze kuwaangusha vinara hawa wa soka Afrika na kuweka historia mpya ya soka Tanzania na Afrika.

    Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
braza mm nipo Misri hapa lakini si cairo, nipo mji mbali kidogo wa Alexandria, niseme ukweli nawafahamu Ahly na hawa jamaa wanawashabiki wengi sana kuliko timu yoyote hapa Misri, uwezo wanao kweli japo marefa huwabeba wakti fulani, Yanga wana mlima wa kupanda japo mpira unadunda.
 
Hata hivyo udhaifu wa Ahly kwa namna ninavyo waona katika mechi zao hapa, kama yanga wataweza, mchezo wa kukaba mtu na mtu, close marking. Timu zinazoifunga Ahly hapa Misri nimeona sana wanatumia mbinu hii ambayo inawafanya Ahly wapoteze uwezo wa kumiliki mpira na utawaona wana panic na kuchezacheza rafu, sijui kama Yanga wanalijua hilo au ndo hawakuta kutuuliza, mm hofu yangu hawa wapenzi wa Ahly ambao tupo class moja weshaanza kunifanyia tashtiti zao wakininyooshea vidoke vinne,vitatu na wengine viwili. Na inatisha kwa kuwa uwezo huo wanao, timu yao nzuri sapoti yao kubwa sana na wanacheza nyumbani.
 
Mimi natabiri mechi itaisha kwa sie Yanga kushinda 2-1
kama itokea yanga akapata matokeo hayo basi uwezekano wa kusonga mbele upo.....ila mimi ningependa apigwe kama 3-0 au zaidi, maana sipendi kuwa mnafiki siwa pendi yanga kama manu vile...halafu hapa ningependa apate ushindi wa 2-1 au sare yaani hapo nitakuwa nimefurahi kweli kweli....lkn watani yanga mwaka huu ana kikosi kizuri kuliko miaka yote niliyopata kuiona yanga...naomba mfungwe
 
Tuna msala, ikiwezekana ni kuambiana ukweli jamaa wazuri the only way to beat them is to attack na kudefend, total football tu itatuokoa lkn tukijilinda ni nyingi twapigwa. All the best Yanga
 
mm nna presha jamani, sjui itakuwaje.....jamaa hapa Misri haweshi kunionyesha vidole kuanzia vinne na kuendelea.
 
vp game itaoneshwa?kama itaoneshwa,kwa sie tuliopo ughaibuni twaweza ichungulia wapi?
msaada kwenye tuta!
 
Yanga leo wanaua washikaji, kwani hiyo ni taifa star inacheza na katimu ka misiri, labda wapeleke majini uwanjani, manake waarabu kwa ushirikina wapo juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom