Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Mar 15, 2009 Thread starter #62 Dakika ya 31 mechi imebalance, mabao ya Al-Ahly yamewekwa kimiani na 1' Mohammed Barakat 20' Amado Flavio
Dakika ya 31 mechi imebalance, mabao ya Al-Ahly yamewekwa kimiani na 1' Mohammed Barakat 20' Amado Flavio
Chimo JF-Expert Member Aug 31, 2008 714 360 Mar 15, 2009 #63 Huyu Anaemponda kipa hajacheza mpira nadhani endelea kumwangalia vizuri huyo sio Juma Mhina
Junius JF-Expert Member Mar 11, 2009 3,181 139 Mar 15, 2009 #65 heeeeyyyyy kamon kwa kuwa mzungu siyo
share JF-Expert Member Nov 22, 2008 6,062 10,461 Mar 15, 2009 #66 Waganga wa jadi warudishiwe leseni zao haraka
Y YOUNG-AFRICANS Member Jan 31, 2009 6 0 Mar 15, 2009 #68 hata pasi zetu mibaya, tuna anguka ovyo sijui kama tuta sawazisha hizi mbili
Junius JF-Expert Member Mar 11, 2009 3,181 139 Mar 15, 2009 #70 huyu refa nlikuwa sjamuangalia vizuri tv yangu inachenga kidogo kumbe mwarabu mwenzao baaaaaaaaaaaasssssssss nshapata kisingizio zikifika 5-0
huyu refa nlikuwa sjamuangalia vizuri tv yangu inachenga kidogo kumbe mwarabu mwenzao baaaaaaaaaaaasssssssss nshapata kisingizio zikifika 5-0
Albedo JF-Expert Member Feb 24, 2008 5,559 1,452 Mar 15, 2009 #71 YOUNG-AFRICANS said: sisi bado hatuwezi kucheza na warabu.... Click to expand... Ha ha haaaaaaaaa?, Wewe nani, Waulize Zamalek
YOUNG-AFRICANS said: sisi bado hatuwezi kucheza na warabu.... Click to expand... Ha ha haaaaaaaaa?, Wewe nani, Waulize Zamalek
Y YOUNG-AFRICANS Member Jan 31, 2009 6 0 Mar 15, 2009 #72 lakini taha simba wamewahi kutolewa na warabu
A Amwanga JF-Expert Member Jan 11, 2009 294 33 Mar 15, 2009 #73 Ila mechi ngumu hii haswa vijana wanacheza kwa wasiwasi
A Amwanga JF-Expert Member Jan 11, 2009 294 33 Mar 15, 2009 #74 Muangola hana adabu anatufunga sieeeeeeeeeeeee
S Sahiba JF-Expert Member Dec 22, 2008 303 1 Mar 15, 2009 #75 Yanga Yanga Yanga Mnafikiri lelemama ile mmeona BESELA lile
Lucchese DeCavalcante JF-Expert Member Jan 10, 2009 5,471 734 Mar 15, 2009 Thread starter #76 Tuombe wasiongeze zaidi, we will come back stronger in the 2nd half vijana sasa naona wemetulia
Junius JF-Expert Member Mar 11, 2009 3,181 139 Mar 15, 2009 #77 huyu ambani kaja hapa misri , anajisifu tu nafikiri huko bongo misifa imemuongeza urefu hana lolote anateleza tu, afadhali halftime........
huyu ambani kaja hapa misri , anajisifu tu nafikiri huko bongo misifa imemuongeza urefu hana lolote anateleza tu, afadhali halftime........
S Sahiba JF-Expert Member Dec 22, 2008 303 1 Mar 15, 2009 #79 Simba wana historia kule Misri Waarabu wakisikia jina tu Simba mikojo inawatoka lakini Yanga hata khofu hawana wanajua wanapeta kilaini kabisa. SAHIBA.
Simba wana historia kule Misri Waarabu wakisikia jina tu Simba mikojo inawatoka lakini Yanga hata khofu hawana wanajua wanapeta kilaini kabisa. SAHIBA.