TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Hakiwahutubia wanaCCM wa kisiwa cha Pemba, Dkt Shein amesema ahadi alizozitoa katika kampeni za uchaguzi uliopita atazitekeleza kwani ahadi zake hazikuwa za kuombea kura tu bali kuzitekeleza kwa vitendo. Ahadi hizo ni kuboresha miundombinu kisiwani Pemba na Zanzibar kwa ujumla, kituo cha Televisheni Zanzabar, na nyinginezo.Dkt Shein amesema pesa zipo kutekeleza ahadi hizo.
Chanzo cha habari: Redio ya Sauti ya Tanzania Zanzibar, Kati ya Saa 11 na 12 jioni hii.
Chanzo cha habari: Redio ya Sauti ya Tanzania Zanzibar, Kati ya Saa 11 na 12 jioni hii.