Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Bado nawaona wabunge wengi wakiendelea kuikumbushia serikali kuhusu utekelezaji wa ahadi alizotoa JK wakati ule wa uchaguzi mkuu. Kwa upande mwingine wabunge wengi wa Zanzibar wameendelea kuihoji serikali pamoja na kuonesha kutoridhishwa na hatua za utatuaji kero za muungano.
Hata hivyo kuna idadi ya kutosha ya wabunge waliokuwa wakihoji suala la mahakama ya kadhi pia.
Hata hivyo kuna idadi ya kutosha ya wabunge waliokuwa wakihoji suala la mahakama ya kadhi pia.