Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,363
- 2,372
- Thread starter
- #41
Lisu ni mwana harakati au makamu mwenyekiti wa chadema?Serikali inayobana matumuzi huku wao wakijilipa mishahara minono lazima ifyekelewe mbali .....
Yeyote atakayeleta ujuaji katika nchi hii lazima aondoke na maji ...
Hata hilo jiwe linu saizi halipo...