Ahadi ya mzee kikwete hiyo

Ahadi ya mzee kikwete hiyo

MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA


Watoto Wetu Muda Wa Shule....




Wanafunzi wa shule ya Msingi Mwere iliyopo Manispaa ya Morogoro, wakiwa ndani ya mto Morogoro , baadhi yao na vidumu vya kuchota maji kwa ajili ya matumizi ya kufanyia safi katika vyumba vya madarasa na vyoo shuleni hapo kama walivyokutwa mwishoni mwa wiki.

Hata hivyo mto huo maji yake si salama kutokana na utupaji wa taka za aina mbalimbali na hivyo kuhatarisha afya za wanafunzi hao kupata magonjwa.


Chanzo: http://lukwangule.blogspot.com
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
<tbody>[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]dhaifu[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]
 
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!

<small style="font-family: Tahoma, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 1.1em; line-height: 1.6em; padding-bottom: 1.4em; color: rgb(116, 119, 117);">
</small>


Pichani ni mtoto wa mitaani ambaye sikuweza kumfahamu jina lake kwa haraka , akiosha kioo cha gari kwa kutegemea ujira usio rasmi kwa mwenye chombo husika,picha hii niliipiga kwenye makutano ya barabara ya Bagamoyo road na old

bagamoyo eneo la Morocco jijini Dar es salaam.

Vijana wengi ambao wengi wao wamekimbia makwao kutokana na sababu mbalimbali wamejiingiza kwenye lindi la kuosha

vioo vya magari pindi yanapokuwa kwenye foleni , jambo ambalo watanzania wengi hawalipendi kwani wengi wa vijana hao ni wangetakiwa wawepo mashuleni ili kuweza kupata elimu licha ya wengi wao kuingia kwenye lindi la uporaji na

vitendo haramu jambo ambalo linaweza kuhatarisha maisha yao .


Swali kwa serikali? inachukua hatua gani kupunguza watoto wa mitaani? au inawezaji kuwaboreshea maisha yao ya hapo baadae? Tafakari chukua hatua

 
[h=3]HAYA NDIO MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA MIONGONI MWA JAMII YA WAHADZABE MKOANI SINGIDA.[/h]




Mkazi wa kitongoji cha Kipamba kata ya Mwangeza ambaye amekataa kutaja jina lake akiwa kwenye nyumba yake ya kuishi na familia yake.

Mkazi wa kitongoji cha Kipamba kata ya Mwangeza wilaya ya Iramba ambaye hakuweza kujulikana jina lake mara moja akiomba alipwe fedha za kumpiga picha.
(Picha na Nathaniel Limu).
 
Maisha Bora kwa kila Mtanzania ni Ndoto



[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
<tbody>[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Hii ni nyumba ambayo mtanzania aliyeadhimisha miaka 50 ya Uhuru anaishi[/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[TD="class: tr-caption"][/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]

MSEMO AU SLOGAN KWA LUGHA YA KIINGEREZA UNAOSEMWA NA CHAMA TAWALA YAANI CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WA "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" UNAZIDI KUWA NDOTO KWA WANANCHI WA NCHI HII.

MSEMO HUU ULIANZA KUVUMA SANA TANGU MWAKA 2005 WAKATI WA UCHAGUZI MKUU WA VIONGOZI WA TAIFA (MADIWANI, WABUNGE NA RAIS) AMBAPO ULIKUWA KAULIMBIU YA CHAMA TAWALA ULIOAMBATANA NA ARI MPYA, KASI MPYA NA NGUVU MPYA.

KATIKA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA MWAKA 2010 USEMI HUO HUO UKAENDELEA KUSIKIKA MASIKIONI MWA WATANZANIA UKIAMBATANA NA "ARI ZAIDI, KASI ZAIDI NA NGUZU ZAIDI.

DESEMBA 9, 2011 NCHI YA TANZANIA ILIADHIMISHA MIAKA 50 YA UHURU. KAULI HIZO NA MAADHIMISHO HAYO YALITARAJIWA KUWA FURAHA KWA WANANCHI KUPATA MAISHA BORA.

NDOTO NA MATUMAINI YA MTANZANIA YAMEENDELEA KUZIKWA SIKU HADI SIKU KUTOKANA NA WIMBI LA UMASIKINI LINALOWAKABILI LICHA YA KUWA NA UTAJIRI MWINGI KATIKA NCHI.

HALI HII IMEBAKI KUWA SITOFAHAMU KATIKA MAISHA YA KILA SIKU. MIONGONI MWA MAISHA MAGUMU YA WANANCHI HAO NI KUKOSA NYUMBA BORA KUTOKANA NA MFUMUKO WA BEI MBALIMBALI KATIKA BIDHAA ZA VYAKULA NA VIFAA VYA UJENZI.

NCHI YA TANZANIA IMEJALIWA KUWA NA FURSA NYINGI ZA UTAJIRI LAKINI HADI LEO WANANCHI WANAISHI KAMA WAKIMBIZI NDANI YA NCHI YAO. NI NANI ATAMKOMBOA MWANANCHI HUYU KATIKA WIMBI HILI LA UMASIKINI? JE, DHANA YA UTAWALA BORA ILILENGA NINI? NANI ANANUFAIKA NA UTAWALA BORA? MASWALI HAYA YANABAKI KAMA KITENDAWILI KWA WANANCHI.

Chanzo:
http://gustavchahe.blogspot.com/2012/05/maisha-bora-kwa-kila-mtanzania-ni-ndoto.html?zx=1bba8f8d5f48956e
 
303699_187898241284710_1004776661_n.jpg

huyu ni mgonjwa akipelekwa hospitali umbali wa kilometer kadhaa



303699_187898244618043_1133991382_n.jpg
 
[h=3]Imebaki miaka mitatu ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania kuisha tangu ilipotolewa miaka saba iliyopita...[/h]



Wafanyabiashara wa mbogamboga wakichapa usingizi katika soko jipya la NMC jijini Arusha baada ya kukosa wateja, wafanyabiasha hao walifukuzwa katika soko la Arusha na kutakiwa kuhamia katika eneo hilo.

Picha na Jackson Odoyo, Arusha
 
[h=3]KEJELI...................MIAKA 50 YA UHURU...........MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA..................!!!!!!!!!!!!!!????????[/h]

[h=3]Hii ni kejeli......, miaka 50 ya uhuru bado kuna watanzania wanaishi maisha ya binadamu wa kale huku kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtanzania ikishika hatam, Je, maisha bora kila mtanzania ni yapi.....? mbona kwa matendo ni "maisha bora kwa baadhi ya watanzania"? hasa kwa baadhi ya wenzetu wa jamii ya wahadzabe?
[/h]

Mkazi wa kitongoji cha Kipamba kata ya Mwangeza ambaye amekataa kutaja jina lake akiwa kwenye nyumba yake ya kuishi na familia yake.

Mkazi wa kitongoji cha Kipamba kata ya Mwangeza wilaya ya Iramba ambaye hakuweza kujulikana jina lake mara moja akiomba alipwe fedha za kumpiga picha.
[h=3]<o:smarttagtype name="place" namespaceuri="urn:schemas-microsoft-com😱ffice:smarttags"></o:smarttagtype><o:smarttagtype name="country-region" namespaceuri="urn:schemas-microsoft-com😱ffice:smarttags"></o:smarttagtype><o:smarttagtype name="City" namespaceuri="urn:schemas-microsoft-com😱ffice:smarttags"></o:smarttagtype>Hadza au Wahadzabe ni kabila linaloishi Kaskazini ya Kati <st1😛lace w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tanzania</st1:country-region></st1😛lace> wanoishi kuzunguka Ziwa Eyasi eneo la Karatu, Mkoa wa Manyara, pia wanapatikana Mbulu, Iramba, Meatu na Maswa. Kabila hilo ni jamii pekee nchini Tanzania inayoishi kwa kutumia mfumo wa binadamu wa kale ambapo wanaishi kwa kutegemea uwindaji pamoja na kukusanya mizizi na matunda ya pori kama chakula kikuu hadi leo hii Tunaposheherekea miaka 50 ya uhuru.

Tofauti na makabila mengine ambayo yanajihusisha na kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara na shughuli mbalimbali za kuingiza kipato, shughuli kubwa ya wanaume wa Kihadzabe huwinda kwa kutumia upinde na mshale. Wanawake wanajihusisha na ukusanyaji wa mboga, mizizi na matunda <st1😛lace w:st="on"><st1:city w:st="on">pori</st1:city></st1😛lace> kisha kukusanyika pamoja na kula kisha kukaa kwa ajili ya kusubiri kesho bila kujua siku,tarehe wala mwaka.

Wanawake wa Kihadzabe wakishamaliza kukusanya mizizi na matunda, hugonga na kusaga mbegu za ubuyu kisha kutumia unga wake kutengenezea uji. Wakati wanaume hutumia muda wao kutengeneza upinde na mishale.

Kwa kifupi kabila <st1😛lace w:st="on"><st1:city w:st="on">hilo</st1:city></st1😛lace> halijui thamani wala karaha ya kukosa fedha kwa sababu linaishi maisha ya kipekee katika maeneo ya nyikani ambapo hakuna matumizi ya kujenga nyumba, samani za ndani, kununua nguo, chakula wala gharama za matibabu ambapo hutegemea mizizi kwa matibabu pia hawana makazi ya kudumu.
[/h][h=3]Wakati watanzania wakiahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania siku zote za maisha ya kila siku, jamii hii huahidiwa nyakula na vinywaji kipindi cha sensa tu ili wakubali kuhesabiwa na baada ya kuhesabiwa habari yao imeishia hapo.[/h][h=3]Nakusudia kusema kuwa jamii hii imekuwa kama chambo tu ya kuongeza idadi ya watanzania ili zipatikane fedha za kufanyia shughuli mbalimbali, kwani mbali na kesabiwa..., kuletewa maendeleo kama ilivyo lengo la sensa kwao ni ndoto bali huishia kutelekezwa.[/h][h=3][/h]

Bw.Abel Matayo, mkazi wa kitongoji Kipamba, kata Mwangeza, Iramba, wa
jamii ya Kihadzabe akiaga familia tayari kwa safari kuwinda


Mmoja wa Wahadzabe, Abel Matayo akivuta sigara nyumbani kwake Kipamba, kata Mwangeza kabla ya kuelekea kuwinda porini.

Kuna baadhi ya watu wanajitahidi sana kupotosha umma kwamba jamii hii haihitaji maendeleo ya kujengewa barabara kuacha kutembea maporini, shule kwani wao hata hawajiu kama kuna kusoma, soko ili kujichanganya na watu na kuacha kutegemea mawindo, hospitali na kuacha kutegemea mizizi pekee.

Aidha jamii hii kwa sasa wamefanywa kama sehemu ya utalii kwa wenzetu wazungu kwa kisingizio kuwa wale ni mabaki ya binadamu wa kale kutokana na fuvu la mtu wa kale kupatikana kwa jamii hiyo

viongozi wetu wa vyama vyote hamjui kama kuna watu hawa.........?na wao wana mahitaji ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA..? kwani jamii hii inaishi pembezoni mwa baadhi ya viongozi wetu wa vyama vyotehicyo hakuna wa kusema hajui kama kuna hilina kama yupo......AJITOKEZA KUNIJULISHA NIMPELEKE.
chanzo:
BERTHA BLOG: KEJELI...................MIAKA 50 YA UHURU...........MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA..................!!!!!!!!!!!!!!????????
 
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA : MJASILIAMALI KAFUNGA DUKAI



[TABLE="class: tr-caption-container"]
<tbody>[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]PAMOJA NA UKWELI KUWA MAISHA BORA HAYAJI BILA KIJISHUGHULISHA PIA KUNA KILA SABABU YA SERIKALI KUWAWEKEA MIUNDOMBINU MIZURI NA WEZESHI BAADHI YA WAJASILIAMALI NA HASA WWANAOPATIKANA VIJIJINI KAMA MWENYE DUKA HILI KATIKA PICHA..[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]
 
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.....KAZI KWELI KWELI!




MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA



Kwa maisha ya sasa unaweza kuona kwa mtoto huyu wa Kigogo ambaye hajui hata hatma ya maisha yake hapo baadae, kama ataendelea kuishi katika 'Tembe' hii kama ya baba yake!!!


[h=3]HII NDO TANZANIA YETU MAISHA BORA KWA KILA MMOJA WETU[/h]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
<tbody>[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Nishati ya Mafuta inapokuwa bidhaa adimu nchini Tanzania (picha toka Wanabidii)[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]

 
Unasubiri nani akuletee? Fanya kazi kijana au chukua hatua acha kulalamika!
 
Rais wetu ni taswira ya jinsi Watanzania tulivyo, otherwise kwa nini alichaguliwa 2005 na ataendelea kuchaguliwa tena 2010? Kama Rais ni msanii, ina maana wengi wetu ni wasanii, kama Rais wetu anatoa ahadi hewa, wengi wetu huwa tunatoa ahadi hewa, nk.


Malizia basi ili ikae vizuri - PIA TUNAPOKEA AHADI HEWA
 
Back
Top Bottom