ngunde11
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 682
- 889
Ni masikitiko yangu makubwa kama mwana geita kwani ahadi aliyoitoa Mh Rais kuwa baada ya wiki tatu wizara ya madini kushirikiana na mgodi wa GGM wawe tayari wameandaa mpango na ugawaji wa magwangala aanze mara moja, lakini mpaka leo hii yapata wiki ya nane hakuna kinachoeleweka,
Kibaya zaidi tuliambiwa tujiunge kwenye vikundi vya saccos na michango tumekwishalipa, kwenye kikundi chetu ni 10000 achilia mbali muda tuliotumia kuzunguka kwa ajili ya usajili
Wakuu naomba ushauri inawezekana nikawashitaki ggm au wizara kwa kutotimiza agizo la Mh au naweza kumshitaki Mh mwenyewe kwa kutoa ahadi hewa nikitumia nguvu ile ile kama yeye anavyo deal na wafanyakazi hewa au naweza kuwaunganisha wote kwa umoja wao kwenye kesi moja
Natanguliza shukrani kwa michango yenu ya kujenga taifa
Kibaya zaidi tuliambiwa tujiunge kwenye vikundi vya saccos na michango tumekwishalipa, kwenye kikundi chetu ni 10000 achilia mbali muda tuliotumia kuzunguka kwa ajili ya usajili
Wakuu naomba ushauri inawezekana nikawashitaki ggm au wizara kwa kutotimiza agizo la Mh au naweza kumshitaki Mh mwenyewe kwa kutoa ahadi hewa nikitumia nguvu ile ile kama yeye anavyo deal na wafanyakazi hewa au naweza kuwaunganisha wote kwa umoja wao kwenye kesi moja
Natanguliza shukrani kwa michango yenu ya kujenga taifa