Ahadi ya bajaji ya mh. Rais imeishia wapi?

Ahadi ya bajaji ya mh. Rais imeishia wapi?

Karikari

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
250
Reaction score
41
Moja ya ahadi ya Mh. Rais wa Jmt kwenye kampeni za 2010 ni Bajaji 400 za kubebea mama wajawazito pindi wanataka kujifungua na kuwakimbiza Hosp.

Waswahili walisema ahadi ni deni. Je hili deni la Bajaji ameshalilipa? Kama jibu ni bado anategemea kulilipa lini?

Kama ahadi hiyo ndogo tena yakuwadhalilisha mama zetu kashindwa kuitekeleza tutegemee nini juu ya ahadi hizi?
1.Machinga complex Mza
2.Meli kubwa mpya kuliko mv.Bukoba
3.Meli ya kisasa Tabora sijui itapita wapi
4.Uwanja wa ndege Tabora
5....
6.....
7.....
.
.
.
87......

Je ilikuwa ni fiksi yakuingilia Ikulu?
Haoni anamweka mridhi wake pabaya ktk zile mbio za ccm za kupokezana vijiti ambavyo tayari wananchi wameshachoka nazo na sasa wanataka mbio za kupokezana vifaa vya kujenga nyumba za kisasa badala ya nyumba za vijiti?
 
Kwi kwi kwi zile bajaji itakuwa ilikuwa tenda yake na Dr Haji tuliambiwa kila kituo cha afya kitapata na mabilioni ya shilingi walisema tayari walisha lipa nadhani hizo pesa zitakuwa zimeenda china kuchapisha vitu vya kampeni 2014-15
 
Kwi kwi kwi zile bajaji itakuwa ilikuwa tenda yake na Dr Haji tuliambiwa kila kituo cha afya kitapata na mabilioni ya shilingi walisema tayari walisha lipa nadhani hizo .pesa zitakuwa zimeenda china kuchapisha vitu vya kampeni 2014-15


Hebu tuambiane ukweli mtu kama Salma anaweza kukubali kuipanda hiyo Bajaji akiwa mjamzito hata kwa majaribio?
 
hebu tuambiane ukweli mtu kama salma anaweza kukubali kuipanda hiyo bajaji akiwa mjamzito hata kwa majaribio?

kijana wangu,unahabari kuwa sal..ma anafanana sana na ka nyumba kangu kadogo ka tatu?

Dah! Nikimcheki huwa na mpuuza. Kwani wa kwangu ni kidomodomo saana!,hivyo hata tabia naamini wanaenda tu.


"hizo ahadi hawezi kutekeleza alisha kata tamaa si anajua dk.slaa ataingia magogoni 2015?
 
Mfano.

Barabara ya nyakanazi to kigoma dah! Ni mashimo ya hatari.

Ooh lamilami,kilasiku ni upembuzi yakinifu.
 
sasa alidhani anawadanganya watoto wake? mtindo wa kidanganya wananchi umeshapitwa na wakati

Kueni wavumilivi kidogo nikweli bajeti ilishatengwa lkn ilijitokeza dharura Rais wetu kipenzi JK akaitumia kwenda kumzika mandela na balance iliyobaki alienda kutibiwa nayo kule marekani pamoja na kwenda kubembea. Naamini kwenye bunge la bajeti tutawakumbuka kinachotakiwa ni uvumilivi tu kama mlivyovumilia kwa zaidi ya miaka50.
 
moja kati ya ahadi/idea za kipumbavu kuongewa na rais mbele ya wakubwa na wadogo..
 
Jk ni m2 kama wa2 wengine ana mapungufu yake, mengi aliyokua anaahadi alikua ana tania 2 na watu wengi huwakujua anatania hivyo wakabaki wanasubiri huku marafiki zake wakijua yuko kweny mzaha, jk ni ccm toka utoto wake na sote 2najua tabia ya ccm kwa miaki hii 53 ya uhuru, hiv ni haki hata mbele ya allah yy hata haumwi kuchet tu afya anaenda USA but mamamjamzito wa milima ya upare huko mamba miamba wakati uchungu umempata apande bajaj kweny milima na majabali makubwa, je jk alikua serious au coz anajua 85% ya watz ni wajinga ana2mia hii nafac kuwapiga vizinga?
 
Back
Top Bottom