Ahadi imetimia: Israel yashambuliwa

Ahadi imetimia: Israel yashambuliwa

muqawama

Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
41
Reaction score
183
NIKUKUMBUSHE

Wiki mbili zilizopita ndege ya Israel ilishambulia nyumba huko Syria na kuua Vijana wa wawili raia wa Lebanon na Wafuasi wa Hizbullah.

Aidha ndege zisizo na Rubani (Drones) ziliingia aga ya Lebanon katika Mji wa Dhahiya ilipo ngome ya #Hizbullah. Ndege moja ilianguka na nyingine kushambulia Kituo cha Televisheni cha Almanar kinachomilikiwa na Hizbullah hapakuwa na Majeruhi wala vifo.

AHADI YA JINO KWA JINO*
Muda mfupi kiongozi wa Hizbullah Sayydi Hassan Nasrallah alitangaza na kuahidi mambo mawili.

1) Kuanzia sasa Ndege yoyote ya Israel itakayoingia Anga ya Lebanon itashambuliwa kwa Makombora.

2) Mauaji ya Vijana wawili Hasan Zbeeb na Yasser Daher’s hayatapita bila kulipwa kisasa.
Ahadi hii ya Pili Sayyid alibainisha wazi kuwa Shambulizi hilo litalipizwa eneo kwenye Mpaka wa Israel na Lebanon la Mashamba ya Shebaa. Na kuwataka Jeshi la israel likae tayari kushambuliwa.

Pamoja na Tahadhari zote zilizochukuliwa na jeshi la Israel.

Leo tarehe 1/09/2019 saa 4:15 Jioni Kikosi maalimu cha Wanajeshi wa Hizbullah walipewa kazi ya kulipiza Kisasi chenye jina Bregedi ya Hasan Zbeeb na Yasser Daher’ kimefanikiwa kwa Usahihi na Umahiri mkubwa kushambulia Deraya ya Kijeshi ya Israel kwenye eneo la Mashamba ya Shebaa mpakani mwa Israel na Lebanon kitongoji cha Kaskazini cha Avivim.

Shambulizi hilo limewauwa Makomandoo wote wa Israel waliokuwemo ndani ya Deray hiyo.

Helkopta za Uokozi za Israeli zimeonekana zikibeba Miili ya Makomando walioshambuliwa.

#Jino_kwa_Jino
manar-02036150015673483209.jpeg
IMG_20190901_214935.jpeg
IMG_20190901_214939.jpeg
IMG_20190901_214933.jpeg
IMG_20190901_214930.jpeg
 

Attachments

  • manar-02036150015673483209.jpeg
    manar-02036150015673483209.jpeg
    30.9 KB · Views: 36
But when the smoke cleared, the IDF stated: “There are no injuries or fatalities to our troops.”

Hezbollah retaliated against Israel, but they failed to hit their mark.
Jpost
 
Tumeona upuuzi. Promo kibao vyanzo vua habari hakuna ila porojo kibao.

But when the smoke cleared, the IDF stated: “There are no injuries or fatalities to our side"
Hahahaha zile picha za majeruhi,maitu zilizobebwa kwenye ambulance na helcopter zilikua ni za wanyama pori?hakuna idf walichowahi kukubali

Poleni na kamanda wa jeshi naye amefyekelewa hukosahz yupo mochwari tu anasubiri sanda nyeupe azikwe zayuni lile
 
From the beginning the IDF planned a decoy. Minutes after the Hezbollah anti-tank missiles hit, soldiers with bandages and fake blood were flown by helicopter to Rambam Medical Center in Haifa.

They were taken off the helicopters in stretchers in dramatic scenes reminiscent of past Israelis wars and operations.

Poleni sana. Hao ndio midoli aliosema yule panya Nasrallah.
 
Ina maana hao Hizboullah wana nguvu kuliko jeshi la Lebanon?
Soma Wingrod Commission iliyoundwa na Bunge la Israel kuchunguza Kwanini Israel Ilishindwa kupambana na Hizbullah mwaka 2006. Vita iliyopelekea Hizbullah kuweza kuyafukuzia Mbali majeshi ya Israel kwenye Maeneo waliyokuwa wakiyatawala huko Lebano.

http://bit.ly/2UoEGpz
 
Ina maana hao Hizboullah wana nguvu kuliko jeshi la Lebanon?

I think the issue hapa sio tactic ya army vs army. Advantage aliyonayo Hezbollah ni position aliopo ambayo inasababisha Jews population iliyopo israel kuwa fair target. No country inaweza kuvumilia civilian casualties. Hii pia ilisababisha Cuba kusurvive vs USA especially baada ya kupata missile from USSR coz cuba ipo karibu na USA.
In 2006 Hezbollah vs Israel was the first mistake kufanywa na Israel, hawakujua kuwa Hezbo wana advance missile capable kufikia ndani ya Israel, so while Israel professional army advance toward Lebanon, number of casualties among Israel civilian inside Israel was rising by the day.




1567379670415.png
1567379776997.png
1567379851220.png
 

Attachments

  • 1567379640739.png
    1567379640739.png
    13.7 KB · Views: 28
From the beginning the IDF planned a decoy. Minutes after the Hezbollah anti-tank missiles hit, soldiers with bandages and fake blood were flown by helicopter to Rambam Medical Center in Haifa.

They were taken off the helicopters in stretchers in dramatic scenes reminiscent of past Israelis wars and operations.

Poleni sana. Hao ndio midoli aliosema yule panya Nasrallah.
we jamaa unapata tabu sana
 
Back
Top Bottom