Agnes Mathew Marwa aapishwa kuwa mbunge wa bunge la 13

Agnes Mathew Marwa aapishwa kuwa mbunge wa bunge la 13

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,770
Reaction score
1,173
AGNES MATHEW MARWA AAPISHWA KUWA MBUNGE WA BUNGE LA 13

Dodoma – Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Agnes Mathew Marwa, ameapishwa rasmi leo tarehe 11 Novemba 2025 kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiapo hicho kimefanyika katika kikao cha kwanza cha mkutano wa kwanza wa Bunge la 13, kinachoendelea jijini Dodoma.

Agnes Marwa ni miongoni mwa Wabunge Wanawake wa Viti Maalum walioteuliwa na Chama chake na kuthibitishwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni.

Bunge hilo linaendelea na shughuli zake rasmi ambapo Wabunge wote walioteuliwa na kuchaguliwa wanatarajiwa kuapishwa kabla ya kuanza kwa shughuli za kawaida za kibunge.
IMG-20251111-WA0069.jpg


IMG-20251111-WA0071.jpg
 

Attachments

  • IMG-20251111-WA0066.jpg
    IMG-20251111-WA0066.jpg
    86.6 KB · Views: 13
  • IMG-20251111-WA0067.jpg
    IMG-20251111-WA0067.jpg
    208 KB · Views: 15
Why is this News ? Kwamba asingeapishwa au hapendi kuapa ?

"When a dog bites a man, that is not news, but when a man bites a dog, that is news",
 
So what kama kaapishwa? Who is she au ana umuhimu gani? Huko Mara misiba ni mingi ila bado ana confidence ya kuja kuapa na kufanya sherehe kwa ushindi wa wizi?

Futeni neno UTU kwenye kauli mbiu yenu
 
AGNES MATHEW MARWA AAPISHWA KUWA MBUNGE WA BUNGE LA 13

Dodoma – Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Agnes Mathew Marwa, ameapishwa rasmi leo tarehe 11 Novemba 2025 kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiapo hicho kimefanyika katika kikao cha kwanza cha mkutano wa kwanza wa Bunge la 13, kinachoendelea jijini Dodoma.

Agnes Marwa ni miongoni mwa Wabunge Wanawake wa Viti Maalum walioteuliwa na Chama chake na kuthibitishwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni.

Bunge hilo linaendelea na shughuli zake rasmi ambapo Wabunge wote walioteuliwa na kuchaguliwa wanatarajiwa kuapishwa kabla ya kuanza kwa shughuli za kawaida za kibunge.
 

Attachments

  • VID-20251111-WA0078.mp4
    7.9 MB
AGNES MATHEW MARWA AAPISHWA KUWA MBUNGE WA BUNGE LA 13

Dodoma – Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Agnes Mathew Marwa, ameapishwa rasmi leo tarehe 11 Novemba 2025 kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kiapo hicho kimefanyika katika kikao cha kwanza cha mkutano wa kwanza wa Bunge la 13, kinachoendelea jijini Dodoma.

Agnes Marwa ni miongoni mwa Wabunge Wanawake wa Viti Maalum walioteuliwa na Chama chake na kuthibitishwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni.

Bunge hilo linaendelea na shughuli zake rasmi ambapo Wabunge wote walioteuliwa na kuchaguliwa wanatarajiwa kuapishwa kabla ya kuanza kwa shughuli za kawaida za kibunge.
View attachment 3500325

View attachment 3500326
Nini maalumu cha kuleta uzi humu,hujasema ndugu?
 
Back
Top Bottom