TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Inasemekana ameuliwa na mh.RC, ngoja tusubiri details kamili
Huyu mtoto kuondolewa na Asthma (pumu) mvua zilizonyesha mfululizo hapo Dar na Maingu vilimuathiri sana km alikuwa na historia ya Pumu
Hapa mtoto wa kinyakyusa akionesha ufundi wake wa kutikisa mkia
kweli alijaliwa
 

Attachments

  • f4f940b7ca11c96cc4b6bb105e9f21a0.mp4
    1.6 MB · Views: 68
Tutende yaliyo mema,mtu kaharibu vijana wetu mitaaani kwa madawa halafu tuendelee kumsifia kwa kazi yake hata kama kafa tutaendelea kumsifia kwa yale aliyokuwa anayatenda duniani
haina shida mkuu, endelea na moyo huo maana inaonekana u mtakatifu sana.
 
2018-04-22 22.53.04.jpg
watanzania wanatumia kumpost humo mitandaoni marehemu Masogange yaani ni picha chafu ambazo hazina maadili kwa umma nnacho kishangaa ni jee Masogange hana picha nzuri za staha ambazo watu wanaweza kuzitumia kuposti mitandaoni kushow apreciation? au ndio muendelezo wa kumzihaki marehemu?
 
BABA mzazi wa Agnes Masogange anayeitwa, Gerald Waya amesema, mwanaye alikuwa nguzo katika maisha yao na kifo chake ni pigo kubwa kwake na familia kwa ujumla.

Waya amezungumza na MCL Digital nyumbani kwake Mbalizi wilayani Mbeya, leo Jumapili na kusema,

Masogange ni mtoto wanne katika familia yake ya watoto sita ambapo wakike ni watano.

Amesema, Masogange amesoma Shule ya Msingi Utengule-Mbalizi na Sekondari ya Sangu akaishia kidato cha pili.

Waya amesema Masogange alipata matatizo hivyo akalazimika kuacha shule. Hata hivyo amesema hataki kuzungumzia mambo mabaya wakati huu anapoomboleza kifo cha mwanaye.

“Aliishia form two (kidato cha pili), akapata matatizo ikabidi aache shule. Tulikosana kidogo lakini tukayamaliza yeye akaenda Dar es Salaam,” amesema.

Waya amesema, “Mwanangu alikuwa nguvu kwangu, alikarabati nyumba hii ninayoishi kwa sasa na nilikuwa nafarijika sana, lakini leo kusikia msiba huu kwa kweli inaniuma sana.”

Amesema Masogange alimpigia simu, “Tukaongea naye akaniambia ‘mimi baba ninaumwa’.Nikamuuliza nini tatizo akasema, “aah! baba niombee tu kwa Mungu’. Na Jumamosi iliyopita nilimpigia simu wakati yupo hospitali kujua maendeleo yake lakini akaniambia ‘baba byee’. Nikaanza kulia, na hapo sikuwasiliana naye tena hadi nilipopata taarifa za kifo chake,”amesema.
Daah!!! Kwahiyo alijua anakufa, inasikitisha
 
NN kweli kabisa mkuu

My issue ni public channel kuendelea kuglorify victim wa sexists , drugs and politics za bei ndogo kwa namna ile

Naelewa motive yao... But not this time

Not this time
Wachache watakuelewa Mkuu!
Mimi nakuelewa sana!
 
Labda biblia yako haina hii sura .Kama inayo soma hapa,"
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu."
Yohana 10:17‭-‬18
Alijiua au aliuawa?
 
Hivi, chanzo cha kifo kinasaidia nini? Kikubwa kwasasa ni kumuombea ili apumzike vyema. Yeyote aweza kufa. Hakuna haja ya kuchimbachimba na kutaka kuonekana wajuzi hata wa mambo ya kawaida. She was a normal human being.
 
vijana wa leo mjiulize na mjifunze,Agnes amefariki je ameacha Legacy gan au jambo gan la mfano na kukumbukwa zaid ya watu ku refer makalio yake makubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom