Uncle Juju
Member
- Apr 20, 2018
- 49
- 57
Kama unamfollow Mange maana yake anakukuna, mtu useless kwako huwezi kumfollow kwenye social network, peleka unafki wako mbele huko.
Nampenda Samira....
Kama unamfollow Mange maana yake anakukuna, mtu useless kwako huwezi kumfollow kwenye social network, peleka unafki wako mbele huko.
Punguza stress ili usome vizuri nimesema I like her kwani we unaumia nini na kuingilia convo za watu utakuja kuparamia visivyoparamika lemutuz we!Kama unamfollow Mange maana yake anakukuna, mtu useless kwako huwezi kumfollow kwenye social network, peleka unafki wako mbele huko.
Kushusha injiniKwani hapa mshana alikuwa anamaanisha nn??
Yeah,mtoto wa mfalme nasikia hadi nyumba alimpangia kabisa!
Na kwa staili za kupanga nyumba hua swala la kondomu halipo mkuu!....
Hatari sana!
Ohooooohivi unexplained anemia ni stage ya tatu ya AIDS
msiba upo wapi
Kama ni kweli na mchwa wanaenda. kufaidi,
Mange anakupaga nini unamtetea sanaKama unamfollow Mange maana yake anakukuna, mtu useless kwako huwezi kumfollow kwenye social network, peleka unafki wako mbele huko.
Nayo ndio madhara ya kuuza unga..ila apumzike kwa amani yeye pamoja na Wateja wake wa unga aliowatangulizaWameona wamtangulize maana angetaja mabosi wake wanaomtumiaga kwenye kusafirisha ngada. Ni kama yule aliyesema Lowasa ni baba yake, alipotaja tu na kuomba msamaha mabosi wamemgeuka, sasa anacheza segere la Polisi peke yake.
All in all, RIP.