Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Mimi sijui huwa mnaongea nini huko kwenye hiyo agm yenu ambayo several times inafanyikaga Arusha.
Potelea mbali ongeeni muongeavyo ila pia mkumbushane kuhusu Ukimwi kama janga la Taifa. Mana naona mkishamaliza ni kungonoka tu ndo kinachofuata. Nasema sitaki majimu ya siyo wote ila kikubwa tukemee hii tabia. Kuna watu ili kujinasua mapema kwenye scandal utasikia siyo wote. Hayo ni majibu ya kimwanaasha.
Potelea mbali ongeeni muongeavyo ila pia mkumbushane kuhusu Ukimwi kama janga la Taifa. Mana naona mkishamaliza ni kungonoka tu ndo kinachofuata. Nasema sitaki majimu ya siyo wote ila kikubwa tukemee hii tabia. Kuna watu ili kujinasua mapema kwenye scandal utasikia siyo wote. Hayo ni majibu ya kimwanaasha.