Agizo la Waziri Dotto Biteko litawafanya 'Wanaapolo' wafe masikini

Hutakua hujui sheria za wizara ya madini,huruhusiwi kutoka na jiwe kama huna leseni ya kuuza madini....kwahiyo mule ndani ya ukuta kuna soko la madini ndio tunauzia humu,wanunuzi wakishanunua ndio anaenda nalo mule wizarani na kufanyiwa tathimini then analipa kodi na kutoka na jiwe lake. Hakuna loopehole yeyote ni kusachiwa mwanzo mwisho
Hutakua hujui sheria za wizara ya madini,huruhusiwi kutoka na jiwe kama huna leseni ya kuuza madini....kwahiyo mule ndani ya ukuta kuna soko la madini ndio tunauzia humu,wanunuzi wakishanunua ndio anaenda nalo mule wizarani na kufanyiwa tathimini then analipa kodi na kutoka na jiwe lake. Hakuna loopehole yeyote ni kusachiwa mwanzo mwisho
Unaongea kama polepole bila kua na ushahidi,hapo kuna 10% ambayo iko toka 2018 kisheria mgodi unaapolo zaidi ya 300,...chukua mawe yametoka ya 3bn ukiwapa 300m wagawane kila mtu anapata 1m hiyo ni pesa,wao ndio humtolea tajiri mawe kwa kuganya hiyo kazi ngumu.
Istoshe mgodi unaweza kutoa mara moja ndani ya miaka 7 huoni hapo ugumu wa maisha yao
Ushaidi wa nini hapo sisi Ni wadau imeletwa topic tutor comments , huyu mdau yeye amesema wana Apollo ni wabia kwa nini aokote yatakayobaki tena
hiko wanachokitaka kwa serikali hii hakiwezekani tusidanganyane kwamba waluusiwe kupita na mawe getini kwa kua wao ni wanyonge kutakua na loopholes za kutolosha kupitia wao
I understand it takes longer kwa mgodi kutoa nina ijua hiyo bishahara kupitia mtu wa karibu anaefanyabhizo shughuli, hustles zake naziona, alipata 4 years ago hajapata tena Mpaka na leo
kwa ushauli kwa wana Apollo waiombe serikali na wao walipishwe kodi kidogo kwa watakayookota hata kidogo lakini sio waachwe Magu hawezi kuelewa
 
Issue
Hutakua hujui sheria za wizara ya madini,huruhusiwi kutoka na jiwe kama huna leseni ya kuuza madini....kwahiyo mule ndani ya ukuta kuna soko la madini ndio tunauzia humu,wanunuzi wakishanunua ndio anaenda nalo mule wizarani na kufanyiwa tathimini then analipa kodi na kutoka na jiwe lake.
Hakuna loopehole yeyote ni kusachiwa mwanzo mwisho
issue sio kujua au kutokujua, issue iliyoletwa. Mezani ni kama wana Apollo ni wanyonge, serikali ikisema ivunje sheria kwa kuangalia hawa ni wanyonge hatutafika, Nchi haiendeshwi kwa style hiyo

Kama wanataka kuendelea kuokota wasajili company wawe na TIN walipe kodi wakienda na mapendekezo yenye Tija kwa upande wa serikali na upande wao sidhani kama waziri hatowasaidia, mbona wafanyakazi wote wanatakiwa wawe na TIN number zao binafsi kwa ajili ya kodi
 
Issue siyo kupita na mawe getini mkuu bali imepigwa marufuku mwanaapolo kuonekana na jiwe popote pale hata ndani ya ukuta. Na endapo utakutwa na jiwe utanyang'anywa na vilevile utasema hayo mawe umeyatoa mgodi gani. Hiyo Ndiyo kauli ya Waziri

Kaeni chini na waziri mumpe mapendekezo na nyinyi mtambulike kama walipa kodi ili muwe huru, lakini mkisema muonewe huruma kwenye hii serikali haitowezekana
 
Back
Top Bottom