Agizo la Waziri Dotto Biteko litawafanya 'Wanaapolo' wafe masikini

Kama swala ndo liko hivyo, waziri kuwazuia wanaapolo kuuza madini yao waliyopata kwenye hayo masalia ni uonevu wa hali ya juu, kwa sababu kimsingi hawezi kuisimamia hiyo 10% anayodai, labda aje hapa atuhakikishie kwamba ataisimamia. Nimeona kwenye reply moja yule masai aliyepata mabilioni alitoa 2.5mil. pekee kwa kila mwanaapolo ambao hawazidi 50 jumla yao. Sasa ukipiga hesabu ya 10% kwenye hayo mabilioni ugawe kwa 50, sidhani kama kila mwanaapolo angeambulia 2.5mil. pekee.
Huu utaratibu ni wa kijima sana. Kwanini wasilipwe mishahara kwa mwezi hata laki 8 ..kisha madini yakitema wanapata bonus ya asilimia walau 5 ya faida.. baada ya kutoa gharama za uendeshaji!?
 
Wizara ya madini inaongozwa na mwalimu wa secondary asiye hata na ufahamu na ruby au tanzanite.

Nchi ina vituko hii.!
 
Nilichogundua hapa wanaapolo huwa wanamwibia tajiri kiasi fulani cha madini na kwenda kuuza kama njia ya kujilipa.

Vinginevyo hao matajiri wa migodini ni manunda hawawezi kulipa hiyo 10% anayoisema Biteko hali itakayopelekea hawa vijana kufanya kazi huku wakitegemea namna tajiri atakavyo amka siku hiyo, awalipe au asiwalipe (posho mlima).

Utaona waziri kwa kuingilia hili swala atawanufaisha zaidi matajiri na kuwakandamiza wanaapolo, hivyo kwenda kinyume na adhma ya serikali ya kuwatetea wanyonge.
Matajiri wa madini ni watu muhimu sana
 
Naomba Mh. Magufuli ajitokeze na aseme anaposema yeye ni Rais wa wanyonge hao wanyonge wako hapa Tanzania au katika nchi ya kusadikika.
 
Naomba Mh. Magufuli ajitokeze na aseme anaposema yeye ni Rais wa wanyonge hao wanyonge wako hapa Tanzania au katika nchi ya kusadikika.
Wewe ndio humwelewi tu.

Maana ya rais wa wanyonge ni rais anaependa kutawala wanyonge. Mkiwa na hela hamtawsliki
 
Ukiwakuta huwa ni huruma,sema kuanzia 2010 kuja huku wengi wamejanga plus biashara wajinga ndio huishi kuishi kimateso na stress...ukikaa nae anakupa story alishika 300m halafu huyohuyo anakuomba buku yani unapata hasira badala ya huruma
Lazima kuwe na Kama Mfuko wa pension kwa Watu hawa na wengine wote.. Wazee wakiongezeka mzigo wa malezi unawaangalia vijana... Na Taifa linasimama au linakuwa kwa mashaka..

Ukiwa kijana tumia na utunze usiwe mzigo uzeeni.. kwa Taifa. Sasa mtu anaweka mzigo kwenye betting wakati angeweza kuweka kwa udogo huo huo wa 1000/2000/5000 kwa siku kwenye actual investment (shares) angekuwa na hakika ya uzee wake..

Hawa wana apollo watungiwe sheria na kanuni.. na wakae kwenye Union zinazotambulika kisheria.. ili hustle zao ziwe formal.. Maisha ya kubangaiza sio maisha...

I hope Hii move inalenga kuwapeleka kwenye kuwarasimisha... Hizi successfee basis sio salama... Sana.. na hata kama ndio mfumo lazima ulindwe na mikataba mizuri.. sio maneno tu..
 
Mkuu kumbuka hakuna kampuni ya madini Mererani inayolipa mfanyakazi na kwa maana hiyo mfanyakazi wa mgodini katika eneo la Mererani ni mbia.

Sasa kama ni mbia ( partner ) kuna shida gani wakiacha kuokota na wakapewa 10% baada ya production ?

Mimi naona waziri yupo sawa kabla ya kufanya kazi mnasign mkataba na mwenye mgodi Kua sisi wana Apollo tupo 200 Mali ikitoka mmiliki unatupa 10% tunagawana mmiliki wa mgodi akikataa kutoa Sheria zipo zitambana

Lazima Kue na controls pale getini watatolosha mawe kwa kisingizio Kua sisi ni wana Apollo tumeokota mgodini

hao wamiliki wa mgodi si ndio waliambiwa wawalipe mishahara wana Apollo na serikali wana appolowakakataa
 
Ulimpigia kura nan tuanzie hpo kwanza nisije anza kumwaga nondo kumbe ulikuwa umekaza misuli kusema mitano tena
 
Hoja kwamba Wafanyakazi watapewa 10% baada ya production ni hoja mfu kutolewa na kiongozi kama Biteko. Namuomba Yeye huyo Bitteko aje na ushahidi wa migodi iliyokwisha toa production ambayo ilishawapatia wafanyakazi 10% kwa mjibu wa kauli yake. Na je wizara ya Madini pamoja na Wizara ya Kazi imesimamiaje suala la malipo ya 10% kwa Wafanyakazi wa migodini?
kwa mujibu wa sheria ya madini,ni marufuku hata kubebea tu madini yoyote bila ya kuwa na aidha dealers license au brokers license
Hivi kuchukua 10% ya madini na kupewa kijiwe kimoja ipi kubwa?
 
Kwa mujibu wa mleta mada, ameeleza kuwa wamehakikishiwa mgawo/mgao wa asilia kumi (10%) kwa bidhaa ya madini inayopatikana.
Mleta mada yupi? Hakuna sehemu niliyosema wanaapolo wamehakikishiwa 10% bali nimesema hiyo 10% huwa ipo tokea miaka ya kina Mkapa but hailipwi.
 
Wadau leo Waziri wa Madini Dotto Biteko alikuwa eneo la mji mdogo wa Mirerani na kama kawaida ya viongozi wa awamu hii ametoa agizo la karne. Waziri kufikia uamuzi wa kuwazuia wafanyakazi wa migodini maarufu kama WANAPOLO kuuza madini na endapo akikutwa nalo atasema alikolitoa hii ni kama Serikali ameamua kuhakikisha WANAPOLO wanakufa masikini.

Serikali ni vema ijue kuwa huyu mfanyakazi wa mgodini halipwi na badala yake Yeye anafanya kazi kwa kutegemea madini yatoke naye aokote ya kwake sasa unaposema hawaruhusiwi kuchukua madini maana yake umeamua kuwaumiza hawa watu wanyonge.

Hoja kwamba Wafanyakazi watapewa 10% baada ya production ni hoja mfu kutolewa na kiongozi kama Biteko. Namuomba Yeye huyo Bitteko aje na ushahidi wa migodi iliyokwisha toa production ambayo ilishawapatia wafanyakazi 10% kwa mjibu wa kauli yake. Na je wizara ya Madini pamoja na Wizara ya Kazi imesimamiaje suala la malipo ya 10% kwa Wafanyakazi wa migodini?

Je, Serikali ni halali kumzuia mfanyakazi wa mgodini kuuza madini? Je, hiyo kauli ina maslahi gani kwa Taifa?
Huo ni uizi kama yeye ni mfanyakazi aendelee kubaki kuwa mfanyakazi. wanaapolo kuwaibia mabosi zake ni uizi na utapeli.
 
Huo ni uizi kama yeye ni mfanyakazi aendelee kubaki kuwa mfanyakazi. wanaapolo kuwaibia mabosi zake ni uizi na utapeli.
Kisha mabosi wanagoma kutoa 20pc na kulipa hawalipi... Kweli hiyo ni element ya wizi
 
Unaongea kama polepole bila kua na ushahidi,hapo kuna 10% ambayo iko toka 2018 kisheria mgodi unaapolo zaidi ya 300,...chukua mawe yametoka ya 3bn ukiwapa 300m wagawane kila mtu anapata 1m hiyo ni pesa,wao ndio humtolea tajiri mawe kwa kuganya hiyo kazi ngumu.
Istoshe mgodi unaweza kutoa mara moja ndani ya miaka 7 huoni hapo ugumu wa maisha yao

Ushaidi wa nini hapo sisi Ni wadau imeletwa topic tutoe comments , huyu mdau yeye amesema wana Apollo ni wabia kwa nini aokote yatakayobaki tena

hiko wanachokitaka kwa serikali hii hakiwezekani tusidanganyane kwamba waluusiwe kupita na mawe getini kwa kua wao ni wanyonge kutakua na loopholes za kutolosha kupitia wao

I understand it takes longer kwa mgodi kutoa nina ijua hiyo business kindaki Kindaki kupitia mtu wa karibu anaefanya hizo business, hustles zake naziona, alipata 4 years ago hajapata tena Mpaka na leo

kwa ushauli wangu kwa wana Apollo waiombe serikali na wao walipishwe kodi kidogo kwa watakayookota hata kidogo lakini sio waachwe Magu hawezi kuelewa
 
Ushaidi wa nini hapo sisi Ni wadau imeletwa topic tutoe comments , huyu mdau yeye amesema wana Apollo ni wabia kwa nini aokote yatakayobaki tena

hiko wanachokitaka kwa serikali hii hakiwezekani tusidanganyane kwamba waluusiwe kupita na mawe getini kwa kua wao ni wanyonge kutakua na loopholes za kutolosha kupitia wao

I understand it takes longer kwa mgodi kutoa nina ijua hiyo business kindaki Kindaki kupitia mtu wa karibu anaefanya hizo business, hustles zake naziona, alipata 4 years ago hajapata tena Mpaka na leo

kwa ushauli wangu kwa wana Apollo waiombe serikali na wao walipishwe kodi kidogo kwa watakayookota hata kidogo lakini sio waachwe Magu hawezi kuelewa
Issue siyo kupita na mawe getini mkuu bali imepigwa marufuku mwanaapolo kuonekana na jiwe popote pale hata ndani ya ukuta. Na endapo utakutwa na jiwe utanyang'anywa na vilevile utasema hayo mawe umeyatoa mgodi gani. Hiyo Ndiyo kauli ya Waziri
 
Hutakua hujui sheria za wizara ya madini,huruhusiwi kutoka na jiwe kama huna leseni ya kuuza madini....kwahiyo mule ndani ya ukuta kuna soko la madini ndio tunauzia humu,wanunuzi wakishanunua ndio anaenda nalo mule wizarani na kufanyiwa tathimini then analipa kodi na kutoka na jiwe lake.
Hakuna loopehole yeyote ni kusachiwa mwanzo mwisho
Mada haijasema mwanaapolo amezuiliwa kutoka na madini nje ya geti bali waziri amepiga marufuku mwanaapolo kuonekana na madini hata ndani ya ukuta.
 
Back
Top Bottom