Age means nothing it's just a number

Age means nothing it's just a number

Umeelewa point yangu
Umri una akisi mambo mengi sana kufikiria kufanya maamuzi kupata fursa nk sijui umenielewa na wewe hata unayoyasema yanaendana na umri huwezi kuchota busara za miaka 45 kwa kijana miaka 20 suala la kusema age is just a number hizo ni porojo pambana kufanya kitu according na umri
 
Umri una akisi mambo mengi sana kufikilia kufanya maamuzi kupata fursa nk sijui umenielewa na wewe hata unayoyasema yanaendana na umri huwezi kuchota busara za miaka 45 kwa kijana miaka 20 suala la kusema age is just a number hizo ni porojo pambana kufanya kitu according na umri
Kufikilia ndio kitu gani?
 
Umri hau define uwezo wako, potential,busara,hekima,au mafanikio yako

Kuna mtu ana miaka 18 lakini ni smart kwenye angle zote,

The same kuna mtu yuko na 30,40,50,60yrs lakini ni bogus.

Mindset matter,No limit.
TWo factors zina determine. Makuzi na mazingira. Hivyo viwili vikikosewa hata ufike 70s bado utakuwa na dedect kitabia, low IQ na vingine
 
Back
Top Bottom