HApa tayari umesha upa umuhimu umriUmenena vyema mkuu am a Great Thinker japokuwa niko little boy!!!
Nyakati ndio huamua smartness ya MTU au ubogus wake!!Umri hau define uwezo wako, potential,busara,hekima,au mafanikio yako
Kuna mtu ana miaka 18 lakini ni smart kwenye angle zote,
The same kuna mtu yuko na 30,40,50,60yrs lakini ni bogus.
Mindset matter,No limit.
Hauamini kwamba watoto wenye umri mdogo(miaka miwili hadi miaka mitano)walikuwa na akili nyingi hadi wakataka kuipindua "serikali" ya Malawi?Nikweli ila Pamoja na Yote tukumbuke uzee is real na Muda ukipita haurudi
ClaroUmenena vyema mkuu am a Great Thinker japokuwa niko little boy!!!
Wana faida zao pia.Mzee halafu ni bogus ni useless kwa jamii
Fafanua mkuu, on how?HApa tayari umesha upa umuhimu umri
Huo ndio uhalisia!sio kweli
Tienes razónMzee halafu ni bogus ni useless kwa jamii
Qué buenoWana faida zao pia.
Umri una define mambo mengi sana sasa wewe jichanganye upo 40+ ukomae na mambo ya 20+ utakuwa kitukoUmri hau define uwezo wako, potential,busara,hekima,au mafanikio yako
Kuna mtu ana miaka 18 lakini ni smart kwenye angle zote,
The same kuna mtu yuko na 30,40,50,60yrs lakini ni bogus.
Mindset matter,No limit.