ahsante sana kiongoz!Chanzo ni Lishe ya Mama na stress kutokana na tabia za mwanaume baada ya mke kujifungua: Dawa asilia na salama kwa mama. Nunua mbegu za maboga, zikaange na kuzisaga kisha tia kwenye uji wa mama. Maziwa yatatiririka kama maporomoko ya Stigglers gorge. Mama pia ale vizuri alaf muondolee stress kwa kuwahi kurudi nyumbani, usimkalipie hata akikosea potezea au mwambie kwa upole. Simu kwako zisiingie bila mpango. Kwa Dar kg sh 3000( elf tatu). Kwa mwanza elf 15. Uji anywe japo Mara tatu kwa siku.
ahsante mkuu!nunua baby formula (maziwa ya watoto) haraka iwezekanavyo
Angalizo: kama mama anamatatizo mengine ya kiafya hususani maambukizi ya VVU basi mkianza kumpa maziwa asinyonye tena, pia mwende mkapate maelezo sahihi zaidi kwa daktari haraka.
ahsante kesho mida hii ntaleta mrejesho?Kesho jaribu kilo moja ya mbegu za maboga utanambia. Hata lile tatizo la wanaume hii ni tiba pia. Haina masharti. Ijaribu uone. Ukifanikiwa leta hapa mrejesho ili kuwasaidia wengine.
All the best, ila hilo tatizo huwakumba wanawake wengi na linaisha hivyo lisiichubue ndoa yenu.ahsante kesho mida hii ntaleta mrejesho?
Nenda bucher lolote wambie wakupe mifupa ambayo haina nyama kabisa chemsha vizuri anywe hiyo supa utaniambia maziwa yatatoka mpka aone kero
Usinunue zile za kwenye pakiti, ni ghali sana. Nenda duka la nafaka, Pima kwa kilo. Kwa Dar hadi morogoro bei ni nafuu, elf 3 kwa kilo, huko kanda ya ziwa zina bei sana, elf 15-20 kwa kilo. Iringa na Mbeya zipo chini pia. Moshi na Arusha sijawahizionaJaman naomben msaada! mwanangu ana wiki mbili ananyonya kwa shida kisa mke wangu mziwa hayatoki inavyotakiwa! ni nini sababu? na tufanyaje ili kutibu tatizo?
we mwanamke ni mama mzuriii sana! kwa coment yako tu moja nimekuelewa sema umeolewa na mimi nimeoa! abarikiwe sana aliyekuoa!Sio kila mwanamke anafaa kuwa na mama na sio kila mwanamke aafaa kuwa mke...how comes umtese mtoto kisa maziwa yasilale...ili kumfurahisha nani? Yaani mimi wanangu wote wanne wamenyonya miaka miwili net, tena huyu wa mwisho ntamnuonyesh adi afike miaka mitano yani adi akatae mwenyewe aseme basi...am not ashamed kwamba maziw yangu yamelala, all i care about is my kids...
Npo mbeya ntazifuatilia mkuu! nimekukubali kwa ushaur mzuri!Usinunue zile za kwenye pakiti, ni ghali sana. Nenda duka la nafaka, Pima kwa kilo. Kwa Dar hadi morogoro bei ni nafuu, elf 3 kwa kilo, huko kanda ya ziwa zina bei sana, elf 15-20 kwa kilo. Iringa na Mbeya zipo chini pia. Moshi na Arusha sijawahiziona
Aisee, yaani mwanangu asipate maziwa ya kutosha kisa kuhofia kulala, acha yafike miguuni tu kwakwelipole sana ndugu yangu,kama huo ndyo uzao wa kwanza kwa mkeo hebu fanya taratibu za makusudi na haraka kwenda hospital mkapate ushauri na ukweli wa hili swala,binafsi ilitokea hali kama hiyo kwa mke wangu tulipopata mtoto wa kwanza,madai yake mama wa mwanangu ilikuwa maziwa hayatoki kama ipasavyo,kumbe mke wangu alihofia akinyonyesha maziwa (matiti yake) yatalala,mtoto alizoofu sana huku akikomaa tutafute chuchu za kununua mtoto achemshiwe maziwa ya kununua,aisee nilidata sana,yaani naijua hali unayopitia uncle
comment yako imenifanya nikuone wa pekee sana,hawa wadada form four leavers Sana shida saba,yuko tayar mtoto afya itetereke kwa kutonyonya ipasavyo wakizingatia matiti yasilale,aiseee nilizama kwa CO nikiwa nimechafukwa nikaomba ruhusa nikaeleweka nikapata siku 21,pale home ilibid niwe taahira kidogo kueleweka,mbele ya mama mkwe nilipageuza pale home ni depo,nilipoeleweka kuwa Dogo nataka anyonye maziwa ya mama kwa gharama na hali yoyote nilishangaa maziwa yamekuwa mengi kwa mama bila kutumia dawa yoyote ile,hongera sana rafiki yangu,unajielewa ad nimekupenda aseeSio kila mwanamke anafaa kuwa na mama na sio kila mwanamke aafaa kuwa mke...how comes umtese mtoto kisa maziwa yasilale...ili kumfurahisha nani? Yaani mimi wanangu wote wanne wamenyonya miaka miwili net, tena huyu wa mwisho ntamnuonyesh adi afike miaka mitano yani adi akatae mwenyewe aseme basi...am not ashamed kwamba maziw yangu yamelala, all i care about is my kids...
Atumie S26 maziwa ya kopoJaman naomben msaada! mwanangu ana wiki mbili ananyonya kwa shida kisa mke wangu mziwa hayatoki inavyotakiwa! ni nini sababu? na tufanyaje ili kutibu tatizo?