Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Mlishe mkeo vyakula kama supu ya samaki, ndizi za mchuzi, nk ili mwili wake utengeneze maziwa ya kutosha, vilevile mkazanie anyonyeshe mara kwa mara maana Wasichana wengi wakizaa sikuhizi ni wazembe kunyonyesha wanabania matiti kisa wanadhania kufanya hivyo ndo hayataanguka.
Jaman naomben msaada! mwanangu ana wiki mbili ananyonya kwa shida kisa mke wangu mziwa hayatoki inavyotakiwa! ni nini sababu? na tufanyaje ili kutibu tatizo?